Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,106
- 144,566
Majaliwa is next
Yaani huyo ndio alitaka awe Katibu Mkuu!!!!!Jaribio la SSH kumfanya Makonda Katibu Mkuu CCM limekwama kwa kura nyingi, imebidi aombe akajifikirie upya aje na mtu mwingine
Nyuchi mbona hata Gwaji Boy zimevuja siku nyingi na anadunda tu?Ilivujishwa chat Yake na kimada, eti walitumiana Nyuchiii.
Ko walimchafuaaa,
Bora liende!Ccm mbele kwa mbele!
Mwanamke Malaya hana tofauti na Mwanamke Mchawi sio mtu mzuri usithubutu kumuamini utalia mdomo juu, ndio maana hata vitabu vya dini vinasema "usimuache Mwanamke Mchawi aishi" na wengine wana sheria zao Mwanamke Malaya anapigwa Mawe hadi kufaIlivujishwa chat Yake na kimada, eti walitumiana Nyuchiii.
Ko walimchafuaaa,
Kazi nzuri sana chama cha mapinduzi na viongozi wake.Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kilichofanyika leo tarehe 29 Novemba, 2023 Jijini Dar es salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kimeridhia kujiuzulu kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Comrade Daniel Chongolo
Hicho kisaini cha Katibu wa Makelele tells it all kuhusu uwezo wa kiakili wa MhusikaKikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kilichofanyika leo tarehe 29 Novemba, 2023 Jijini Dar es salaam na kuongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kimeridhia kujiuzulu kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Comrade Daniel Chongolo
Nadhani wanaosema chanzo ni Makonda wako sahihiMimi bado sijaelewa huyu chongolo nini kinaendelea maana sijaona hicho kitu kilichofanya hadi ajiuzulu, ni hiyo ajali au kuna mengine hatuyajui?
Ccm mnamuogopa sana Daudi....ila bado mmempa uenezi.Jaribio la SSH kumfanya Makonda Katibu Mkuu CCM limekwama kwa kura nyingi, imebidi aombe akajifikirie upya aje na mtu mwingine
Wapi mzee Tupatupa VUTA-NKUVUTEJaribio la SSH kumfanya Makonda Katibu Mkuu CCM limekwama kwa kura nyingi, imebidi aombe akajifikirie upya aje na mtu mwingine
Aiseee nimecheka nakujiuliza maswali mengi utafikiri kuna mtu kakiigizaHicho kisaini cha Katibu wa Makelele tells it all kuhusu uwezo wa kiakili wa Mhusika