.........mkuu, umetuambia katika nyuzi mojawapo hapa kwamba habari ulizonazo ambazo of course ume-declare sio rasmi kwamba Lowassa na Chenge wamevuliwa gamba, hivyo tuchukulie hizi ndio rasmi mkuu?
Hivi umesema mwenye update za EL na JK walikutana wapi atujuze. Kama ndivyo mimi ninachojua EL alisema hawajakutana barabarani kama kuna anayejua walikutana wapi atujuze hata mie ninapenda kujua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.