Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Tukiwapa urais sitashangaa kuona mnamvua rais wa nchi uanachama tunaanza kuhangaika kurudi kwenye makatiba na tafsiri za kisheria.
JK angekuwa CDM angekwishashughulikiwa siku nyingi. Ashukuru udhaifu wa CCM.