Maamuzi magumu yasiyoweza kufanywa ndani ya CCM.
Owawa Stephen J
CHADEMA yawavua uanachama madiwani wawili wa mkoa wa Mwanza na kuvunja Uongozi wa Chama Mkoa uku madawani wote wakipewa onyo kali,Maamuzi haya yameniumiza sana kwani moja wa aliyevuliwa uanachama ni Adam Ibrahim Chagulani diwani wa Igoma, Mwanaharakati mahiri tangu tukiwa UDSM.
Nini mustakabali wa Vijana ndani ya Vyama vya Siasa?
Ndicho mlichobakia nacho nyie vilaza,sisi tunasonga mbele kwa kutumia mapungufu yenu yanayotuharibia nchi hii yenye maziwa na asaliMasikini WASUKUMA wanatawaliwa na WACHAGGA!
Owawa,pole sana kwa kuguswa na jambo hili,na nadhani wote tumeguswa.sikumfahamu chagulani ila nilikutana naye wakati wa uchaguzi wa bavicha huu uliompa heche uenyekiti.mimi ni mwanafalsafa,nilisikiliza tu hoja zake,yeye,mtu anaitwa Ben,na mwakagila.baada ya kuchambua upeo wao haraka japo sikujua historia yao niliwashauri na ninakujibu swali lako la mustakabali wa vijana kwenye vyama vya siasa.jibu lako na ndicho niliwaambia wakati ule ni Vijana waache ujinga na kudhani siasa za daruso ziko applicable hata kwenye platform ya taifa.chadema kujitanabahisha kuwa chama cha vijana haimaanishi kwa mtizamo wangu kuwa sasa vijana hata wahuni,wasiojali wanaweza kupenya.kwa hiyo vijana wa chadema na hata ccm na wote kama swali lilivouliza tuwe watulivu na kuwa na nidhamu.Owawa Stephen J
CHADEMA yawavua uanachama madiwani wawili wa mkoa wa Mwanza na kuvunja Uongozi wa Chama Mkoa uku madawani wote wakipewa onyo kali,Maamuzi haya yameniumiza sana kwani moja wa aliyevuliwa uanachama ni Adam Ibrahim Chagulani diwani wa Igoma, Mwanaharakati mahiri tangu tukiwa UDSM.
Nini mustakabali wa Vijana ndani ya Vyama vya Siasa?
Kwa hiyo mwizi akiwa CHADEMA poa tu!Ni ADAMU CHAGULANI IGOMA NA HENRY MATATA KITANGIRI
Pia Imevunja uongozi wote wa chadema mkoa wa mwanza.sababu kuhujumu chama na kumvua umeya meya wa chadema kinyume na utaratibu wakishirikiana na maccm na serikali