Mwathirika
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 207
- 32
kuanzia lini chadema wakatupa kipaumbele sisi wanawake? hiyo ni sera ya ccm imekubarika sana miongoni mwa sisi akina mama. wao chadema watasema JK anatembea na sisi wanawake wote.... ndio jibu lao kwa wepesi. hata wafuasi wa chadema hawaoni umuhimu wetu wanawake angalia mchango wao kwenye thread hii utagundua kuwa wanatutumia tu baadhi yetu ili wafike wanakotaka kufika
kwani wewe uliumbwa kwa ajili gani?