Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Mkuu I need the car serious. Umesema tax duty exempted what do you mean?
Mkuu I need the car serious. Umesema tax duty exempted what do you mean?
hata mie nilishtukia hiyo kitu.Huu mchuma unafanana na huu hapa https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/376444-rav-4-two-doors-for-sale.html Huyu Mlachake na freemoney ni mapacha au kuna mmoja ni dalali hapa.
Ndio maana mkakatazwa msiseme neno.Huu mchuma unafanana na huu hapa https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/376444-rav-4-two-doors-for-sale.html Huyu Mlachake na freemoney ni mapacha au kuna mmoja ni dalali hapa.
Bana bana!Milango 3!! Huu msiba wako
Bana bana!
Hakuna kitu kinanikera kama vigari vya milango mitatu
Bana bana!
Hakuna kitu kinanikera kama vigari vya milango mitatu
Yaani ubaya haviuziki na vimekaa kichoyo choyo
Sasa kwa nini watu wanavi import hivi vigari?Havina tofauti na bajaj,ukipiga kona ya ghafla unajikuta aghakan pembeni ya DIC lol!!
Milango 3!? 10M? alafu ina excemption ya kodi. Eti hutaki watu wachangie eti sio thread. Basi katangazie huko kwenye magazeti, TV na radio. Hapa jf kuchangia ruksa mkuu. hayo mashariti peleka kwako au kwenu. Na naomba. Mode. mpeni BAN huyu kwa kutunyima uhuru wa kuchangia humu jf.