Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Nimekuwa nikijiuliza yu wapi kamanda tosi ambaye alijizolea umaarufu siku za nyuma kwa uhodari wake katika operation mbalimbali ndani ya jeshi la polisi.leo hii nimemuona kwenye taarifa ya habari TBC akiwa na magwanda ya askari wa wanyama pori,je kamanda huyu alishastaafu?