Mazoko
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 674
- 184
Sisi watumiaji wa barabara ya Alhasan Mwinyi tukifika salenda tunakerwa sana na tabia hii ya maaskali wako kutusimamisha kwazaidia ya dk 15 mpaka wewe upite sidhani kama hii ni sawa leo tumekaa zaidi ya dk 18 ndiyo wewe unapita
Tunavyojuwa wakuu wa nchi ndiyo wanaruhusa yakutuweka wewe uko kundi gani tunaomba wahusika hili lifanyiwe kazi laasivyo kesho mkifanya hivyo nitasimamisha gari katikati ya barabara akifika karibu alafu tumweleze hasira zetu
Tunavyojuwa wakuu wa nchi ndiyo wanaruhusa yakutuweka wewe uko kundi gani tunaomba wahusika hili lifanyiwe kazi laasivyo kesho mkifanya hivyo nitasimamisha gari katikati ya barabara akifika karibu alafu tumweleze hasira zetu