Umeelewa kweli chanzo cha habari mkuu??
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi...n u expect me to believe u!??
Unajua humu JF kuna watu wenye kufanya kazi sehemu uzitajazo so nielewe na uniamini nisemavyo nimgekuwa MODERATOR....ningekupa ban wewe na huyo 'mwandishi wetu'!!!
Na hutakaa uwe moderator!
Ufukuaji makaburi umeanza tena. Nchi hii sihami ngoo
Umeona eehMaisha ni fumbo juzi juzi nikakutana kamanda Kamuhanda amesitafu anaishi Mwanza. Nikacheka sana. Kachoka ana Harrier Imechoka balaa. Hah
Tuishi kwa wema na upendo. Maisha ni safari tu