STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
:lock1:Kuna kitu nimekisoma kwenye moja ya maada wanajamvi kimenigusa sana.
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa NNE sasa. na kabla ya hapo nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wangu wa sasa kwa takribani miaka mitano kabla ya kuoana naye.
Kweli sikumbuki siku mke wangu aliponiambia kuwa "Mume wangu leo nina hamu ya kufanya mapenzi."
Kama wewe ni mwanamke, umeolewa au una mpenzi, ni mara ngapi umeanzisha sex? Kama wewe ni mwanaume, umeoa au una mpenzi, ni mara ngapi mkeo/mpenzio ameanzisha sex?
Kwa nini wanawake waizito sana katika hili? Mimi nimejaribu kukaa na mke wangu mara kadhaa kuhusu hili na tumeliongea sana, nilifikiri kuwa haridhiki kimapenzi na pengine hana hamu kabisa ya kufanya sex. Lakini mara zote ambazo nimekaa naye na kuongea naye amenihakikishia kuwa anaridhika sana na tena huwa anatamani kuanzisha, lakini anashindwa tena ameniambia kabisa kuwa siku ambazo huwa anataka kuanzisha, halafu nikajikuta nimeanzisha ni nyingi kulike zike ambazo huwa naanzisha bila yeye kuwa na taarifa. eti, ananiambia ni kama vile fikra zangu huwa zinaenda na zake. Naamini mara chache, lakini bado nakuwa na wasiwasi juu ya mambo haya? Wanaume na wanawake nihakikishieni juu ya hili, ni hali ya kawaida, au mke wangu ananidanganya haridhiki that's why haanzishagi mechi?????:bump2::bump2::cool2:
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa NNE sasa. na kabla ya hapo nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wangu wa sasa kwa takribani miaka mitano kabla ya kuoana naye.
Kweli sikumbuki siku mke wangu aliponiambia kuwa "Mume wangu leo nina hamu ya kufanya mapenzi."
Kama wewe ni mwanamke, umeolewa au una mpenzi, ni mara ngapi umeanzisha sex? Kama wewe ni mwanaume, umeoa au una mpenzi, ni mara ngapi mkeo/mpenzio ameanzisha sex?
Kwa nini wanawake waizito sana katika hili? Mimi nimejaribu kukaa na mke wangu mara kadhaa kuhusu hili na tumeliongea sana, nilifikiri kuwa haridhiki kimapenzi na pengine hana hamu kabisa ya kufanya sex. Lakini mara zote ambazo nimekaa naye na kuongea naye amenihakikishia kuwa anaridhika sana na tena huwa anatamani kuanzisha, lakini anashindwa tena ameniambia kabisa kuwa siku ambazo huwa anataka kuanzisha, halafu nikajikuta nimeanzisha ni nyingi kulike zike ambazo huwa naanzisha bila yeye kuwa na taarifa. eti, ananiambia ni kama vile fikra zangu huwa zinaenda na zake. Naamini mara chache, lakini bado nakuwa na wasiwasi juu ya mambo haya? Wanaume na wanawake nihakikishieni juu ya hili, ni hali ya kawaida, au mke wangu ananidanganya haridhiki that's why haanzishagi mechi?????:bump2::bump2::cool2: