Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
[h=6]Jamaa mmoja katika baa moja mjini...
Jamaa:Mhudumu nipe kinywaji na kila mmoja mpe kinywaji humu ndani
**Maana wakati mimi napata kinywaji lazma kila mtu apate kinywaji...
(BEER)
... Haraka sana mhudumu akagawa vinywaji
JAMAA:Mhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani.mpe supu maana wakati mimi napata supu lazma kila mtu apate supu..
Mhudumu akagawa supu tena safari hii wote wakapiga makofi..
Jamaa:Mhudumu nipe bili na kila mtu humu mpe bili maana wakati mimi nalipa bili yangu lazma na kila mtu alipe bili yake..
JE..WEWE UNGELIPAAA... au UNGEFANYAJE?[/h]
Jamaa:Mhudumu nipe kinywaji na kila mmoja mpe kinywaji humu ndani
**Maana wakati mimi napata kinywaji lazma kila mtu apate kinywaji...
(BEER)
... Haraka sana mhudumu akagawa vinywaji
JAMAA:Mhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani.mpe supu maana wakati mimi napata supu lazma kila mtu apate supu..
Mhudumu akagawa supu tena safari hii wote wakapiga makofi..
Jamaa:Mhudumu nipe bili na kila mtu humu mpe bili maana wakati mimi nalipa bili yangu lazma na kila mtu alipe bili yake..
JE..WEWE UNGELIPAAA... au UNGEFANYAJE?[/h]