Kama unabisha jaribu

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,035
15,540
KAMA UNABISHA JARIBU!
1: Huwezi kuweka sabuni kwenye macho.
2: Huwezi kuhesabu nywele za kichwani.
3: Huwezi kupumulia PUA wakati ULIMI uko nje.
4: Najua umejaribu hilo la 3.
5: Umeonekana km mbwa..
6: Unacheka kwa kua nimekufanya mbulula.
7: Lazima uwatumie wenzako ili ulipize. hahaaaaa!!!
Ni kweli ilitokea huko Nigeria?
Nikikuambia 3x1 ni tofauti na 1 x 3 najua utabisha kwa sababu wewe ni msomi, sasa kwa kuwa unabisha nenda Hospitali wakikuandikia dawa 1x3 badilisha weka 3x1 ndo utajua kama bodaboda inaweza ikawa ambulance.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom