Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,021
- 2,296
Uzi maalum kama umeshatumia kwa muda, labda umelichoka au unatamani kubadilisha tupia hapa watu waje PM tumalizane kuepuka cheni za wadau wengine
Hapa iwe kwa wamiliki tu, tupia gari unayouza akipatikana mdau basi mmalizane, mimi pia nitapitia kama nitaona inanifaa napita nayo,
Mtuwekee bei za kawaida basi tunaoanza kumiliki magari,
Hapa iwe kwa wamiliki tu, tupia gari unayouza akipatikana mdau basi mmalizane, mimi pia nitapitia kama nitaona inanifaa napita nayo,
Mtuwekee bei za kawaida basi tunaoanza kumiliki magari,