GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,116
Marafiki zangu Wakubwa akina Bhinda na Kampira wa Yanga SC tusije tu Kulaumiana Weekend hii.
Kesho Jumatano tarehe 27 Machi, 2024 ni BIRTHDAY yangu GENTAMYCINE hivyo natoka huku Makao Mapinga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kuja huko Dar es Salaam kwa KAZI MAALUM juu ya Simba SC yangu.
Na ninaongozana na MTU MAALUM wa KAZI MAALUM kuuwahi Ufunguo wa Uwanja wa Mkapa ambao Kesho Simba SC inakabidhiwa kwa Maandalizi ya Mechi na MIKAKATI yote ya Ndani na Nje ya Uwanja.
Hivyo kwakuwa Marafiki zangu akina Bhinda na Kampira kwa Kumtumia huyo Mtaalam wenu wa Mtwara na Mafia wa TANO TANO ( ambazo hata Mimi NILIZIKOGA vile vile hadi KUCHANGANYIKIWA nazo mwaka jana ) mmeamua KUUSALITI ule UMOJA WETU na kuwa WANAFIKI na Kutuumiza Kimya Kimya Simba SC na Sisi sosa Kesho tunaenda KUMALIZA letu na MWARABU kisha tunaenda KUHARIBU lenu na MZULU akina MASANDAWANA na tusije Kulaumiana tukikutana hapo Nje Minazini Baa au Kwa Chichi Uwanha wa Uhuru na Benjamin Mkapa.
Mpaka sasa MWARABU Kafa 6 kwa 1.
Kesho Jumatano tarehe 27 Machi, 2024 ni BIRTHDAY yangu GENTAMYCINE hivyo natoka huku Makao Mapinga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani kuja huko Dar es Salaam kwa KAZI MAALUM juu ya Simba SC yangu.
Na ninaongozana na MTU MAALUM wa KAZI MAALUM kuuwahi Ufunguo wa Uwanja wa Mkapa ambao Kesho Simba SC inakabidhiwa kwa Maandalizi ya Mechi na MIKAKATI yote ya Ndani na Nje ya Uwanja.
Hivyo kwakuwa Marafiki zangu akina Bhinda na Kampira kwa Kumtumia huyo Mtaalam wenu wa Mtwara na Mafia wa TANO TANO ( ambazo hata Mimi NILIZIKOGA vile vile hadi KUCHANGANYIKIWA nazo mwaka jana ) mmeamua KUUSALITI ule UMOJA WETU na kuwa WANAFIKI na Kutuumiza Kimya Kimya Simba SC na Sisi sosa Kesho tunaenda KUMALIZA letu na MWARABU kisha tunaenda KUHARIBU lenu na MZULU akina MASANDAWANA na tusije Kulaumiana tukikutana hapo Nje Minazini Baa au Kwa Chichi Uwanha wa Uhuru na Benjamin Mkapa.
Mpaka sasa MWARABU Kafa 6 kwa 1.