Kama Taifa, tuambiwe ubora wa Makaa ya Mawe na Chuma cha Liganga. Kwanini wawekezaji wanayakataa?

Mimi ninachojua pia natoa mfano usafirishaji wa haya makaa ya mawe ndio tatizo kubwa! Usafirishaji iwa njia ya barabara kuna usumbufu mkubwa! Hadi sasa huko nganga wanakosema sikujui ila kwa kusafirisha makaa kutoka kiwira au mchuchuma mimi naona ni mbali na gharama itakuwa kubwa! Pia kama ndio hivyo mbona mbeya cement hawatumii hayo makaa ya kiwira!? Kwa nini tu dangote??
Usichanganye mada Kiwila ilisha simama kuzalisha makaa ya mawe kwa zaidi ya miaka sita sasa.Mbeya cement kwa sasa anatumia makaa ya Ngaka ila hupitia kiwila port labda ndo unapochanganya apo
 
nilidhani Una Akili Timamu, Kumbe Hovyo Kabisa Mleta Mada...

Nani alikwambia kuwa Makaa Yetu Ya Mawe Hayana Ubora?

Mbona Twiga Wanayatumia? Nyati, Rhino, Lucky nk. Mbona wao Wanayatumia?

Taarifa Ya Ubora Wa Makaa Ya Mawe Upewe kama Nani? Kwani Ulishaitafuta Ukaikosa? Kwani Juzi hukusikiliza Taarifa Ya Waziri Muhongo Akizungumzia Taasisi Za Ndani Na Nje zilizopima Ubora wa Makaa Yetu Ya Mawe?

Upuuzi Mtupu, Kama huna hoja Kaa Kimya.
... Hili ni jukwaa huru, jenga hoja zako lakini siyo kuamuru watu wakae kimya! Maelezo ya serikali yanakinzana what do you expect?
 


Sikilizeni hapa mnaosema dangote n mpuuz mana majibu yake haya hapa mana wabongo kelele sana

Nimeipitia iyo clip he lacks a lot of facts afterall mtoa mada anaonekana ni transporter so kuna mambo hayafahamu ila kwa kiasi fulani yuko na facts kwenye upande wa transport na upatikanaji wa mkaa Ngaka
 
Hakuna mkataba tulioweka na Dangote uliovunjwa. Ingekua hivyo, angeshatushtaki kwenye kile kituo cha usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji.

Kuna viahadi alipewa kwa mdomo na wanasiasa ndivyo vinazingua
Izo ahadi ndo zinazoleta shida na hawakuzidocument bse ilikuwa ni kwa maslai binafsi.
 
Nimeipitia iyo clip he lacks a lot of facts afterall mtoa mada anaonekana ni transporter so kuna mambo hayafahamu ila kwa kiasi fulani yuko na facts kwenye upande wa transport na upatikanaji wa mkaa Ngaka

Kalenga sana la upatikanaj na transport na ndo baadhi ya kero hakutaka huyu bilionea na sisi tumezama kule tumeona huo upuuz
 
Mimi ninachojua pia natoa mfano usafirishaji wa haya makaa ya mawe ndio tatizo kubwa! Usafirishaji iwa njia ya barabara kuna usumbufu mkubwa! Hadi sasa huko nganga wanakosema sikujui ila kwa kusafirisha makaa kutoka kiwira au mchuchuma mimi naona ni mbali na gharama itakuwa kubwa! Pia kama ndio hivyo mbona mbeya cement hawatumii hayo makaa ya kiwira!? Kwa nini tu dangote??

Unasafirisha makaa ya mawe toka songea-mtwara 700+Kms af tan 25 tu wakat wenzetu sauz wanasafirisha mpka tan 38-42 af miundombinu imesimama road mkeka hakuna mizan hakuna tochi hakuna usumbufu kama hapa shamba la bibi
 
Tatzo akitoa oda ya tan 5000 kwa mwezi mtaweza mpelekea na magari yenu haya ya kubeba tan 24 af njia dume akipitia dsm na Mafoleni yenu ya mandela na Kilwa yatafika lini Kumbuka ile n mega-plant sio kama viwanda vyenu vya Nyati sijui twiga et Hata Lakeoil ana kiwanda
Acha Dharau Twiga wanazalisha 1.9 tones Simba kama 2mil na Dangote capacity ni 3mil ila hajafika uko bado
 
Acha Dharau Twiga wanazalisha 1.9 tones Simba kama 2mil na Dangote capacity ni 3mil ila hajafika uko bado

Tan 5000 za makaa ya mawe mkuwa sio siment ahaha ahahh ahaha punguza moto utachoma busta mbele kuna down
 
Mkuu wangu hakuna jinsi ya kupunguza hyo ash content kwenye makaa ya Mawe...ndo yaliumbwa hvo...yaani ni kama mkaa wa kawaida unaweza kutana na mkaa mzuri (akina mama wanaitaga chuma) kutokana na mtu uliotumika kutengeneza huo mkaa au ukakuta mkaa mwngine ndo hvo tena unaisha faster...kwa uelewa wangu hakuna jinsi ya kupunguza hyo ash content Mkuu wangu.

Mkuu Wewe Ni Nomaaaa....Inaonekana unajua Mambo...nimekupa like Nimeona haitoshi...
But Nina Swali nisaidie...
Kweli Hata Mimi nasikia yana Ash content nyingi...
Sasa Si kuna Mgodi Hapo?Hawawezi kufanya Process ya Kuondoa hizo Ash?Makaa yakawa Na Ubora Kama Mengine?Au Huo Mgodi Kazi yake Ni kuchimba tuu hakuna Hatua ya Kuondoa Ash??
Pia Nilisikia Tanga wanatumia ya South Africa...
Viwanda vingine vyote vilivyobaki havina Mtambo wa Coal mill...
 
Hiv muwekezaji kama yule mseme kakimbia hv tu... Kwnnn issue ya coal ianze Sasa? Mnataka kusema kabla ya Investment hakufanya feasibility study? Big Investor kama yule?? Kuna kitu hakijakaa Sawa hapa... Wote wanaomshambulia kwamba aende Hao ni wale wenye shibe... Sisi tusio na ajira tuelekee jembe la mkono....!!!!!!
 
kadri siku zinavyoenda siri zinafichuka,kumbe makaa ya mawe ambayo tumekuwa tukijisifia nayo hayana ubora wa kufaa kutumika.

Dangote kayakataa,ndio maana nilikuwa najiuliza,dunia ilivyo na shida ya nishati kweli mgodi wa makaa ya mawe ungekaa miaka yote hiyo bila uwekezaji?hata mkoloni hakuyahitaji?

Hii ni sawa na chuma cha liganga,je nacho kina ubora?dunia ilivyo na shida na madini ya chuma kweli liganga ingekosa mwekezaji ?

naanza kupata wasiwasi na ubora wa chuma cha liganga pia,

na inawezekana kama taifa tunajisifia vitu viiingi kwamba tunavyo,kumbe mapumba tu
kadri siku zinavyoenda siri zinafichuka,kumbe makaa ya mawe ambayo tumekuwa tukijisifia nayo hayana ubora wa kufaa kutumika.

Dangote kayakataa,ndio maana nilikuwa najiuliza,dunia ilivyo na shida ya nishati kweli mgodi wa makaa ya mawe ungekaa miaka yote hiyo bila uwekezaji?hata mkoloni hakuyahitaji?

Hii ni sawa na chuma cha liganga,je nacho kina ubora?dunia ilivyo na shida na madini ya chuma kweli liganga ingekosa mwekezaji ?

naanza kupata wasiwasi na ubora wa chuma cha liganga pia,

na inawezekana kama taifa tunajisifia vitu viiingi kwamba tunavyo,kumbe mapumba tu
kadri siku zinavyoenda siri zinafichuka,kumbe makaa ya mawe ambayo tumekuwa tukijisifia nayo hayana ubora wa kufaa kutumika.

Dangote kayakataa,ndio maana nilikuwa najiuliza,dunia ilivyo na shida ya nishati kweli mgodi wa makaa ya mawe ungekaa miaka yote hiyo bila uwekezaji?hata mkoloni hakuyahitaji?

Hii ni sawa na chuma cha liganga,je nacho kina ubora?dunia ilivyo na shida na madini ya chuma kweli liganga ingekosa mwekezaji ?

naanza kupata wasiwasi na ubora wa chuma cha liganga pia,

na inawezekana kama taifa tunajisifia vitu viiingi kwamba tunavyo,kumbe mapumba tu
Nimeota BMW anamiliki mgodi wa makaa ya mawe na yeye ndo mshauri mkuu wa jpm kwa hyo anapambana kimaslahi yake
 
Dangote ashaingia mkataba na wenye makaa na gar zilikua ni zake abebe mkaa aliletea howo kama 300 hiv kwanini walimfukuza na howo hzo wakasema hapana akazipeleka dandote Ndola tz wanasema gar za Tz za hawa wakina GSM edh awadh na wengine ndo wqsafirishe siment na mkaa wa mawe mwanzon waliubeba mkaa wa loose cargo kwnye flat badae waksema zitengenezwa sideopen lakin bado ikawa pa1 na hayo mzalishaji wa coal hana facilities za kutoa mkaa wa gar 300 kwa siku sawa na tani 7500 kwa gar za tan 25 zile semi. Dangote yote hayo kakomaa unakuta analetewa gar 16 nazo Zinakuja zimechelewa kutokana na road zetu za kipuuz folen za kijinga na pia upakiaji wa kijinga kule mgodin nimekaa south africa nimekaa mozambique tunaona wenzetu wako sirias na kaz ndo mana dangote anachukua mkaa Tete kupitia beira au south kupitia durban watu wanapga kazi na facilities zipo za kazi ...
Kaka dangote hajawahi kupeleka hizo gari miatatu anaambuwa asaini mkataba hataki Hata gypsum inaoatikana kilwa sio mbali na mtwara lakini aligoma kuchukua alikuwa anaimport ,kwa mujibu wa wazalishaji hawataki kuzalisha mkaa bila contract na dangote kwa sababu yeye anawapa wao order wanainvest kwenye mining kwa ajili yake alafu haendi kuchukua kwa mujibu ya muhongo siku ile kenye TV alisema kuna rani 5000 pale za coal aliwaambia wazalishaji hakwenda kuchukua. Hata siku aliyoenda muhongo Ngaka hawakwenda WAKATI waliambiwa watu wote waende wakamalize ubishi huo mgodini hawakwenda.
 
Mkuu wangu hakuna jinsi ya kupunguza hyo ash content kwenye makaa ya Mawe...ndo yaliumbwa hvo...yaani ni kama mkaa wa kawaida unaweza kutana na mkaa mzuri (akina mama wanaitaga chuma) kutokana na mtu uliotumika kutengeneza huo mkaa au ukakuta mkaa mwngine ndo hvo tena unaisha faster...kwa uelewa wangu hakuna jinsi ya kupunguza hyo ash content Mkuu wangu.
Kwani kaka nieleweshe....Tanga cement,Mbeya cement,Rhino cement na Kimbiji nasikia wanatumia makaa ya mawe kama mbadala wa gesi...sasa wanayatoa wapi?
Nakupa Homework hiii..
 
Kaka dangote hajawahi kupeleka hizo gari miatatu anaambuwa asaini mkataba hataki Hata gypsum inaoatikana kilwa sio mbali na mtwara lakini aligoma kuchukua alikuwa anaimport ,kwa mujibu wa wazalishaji hawataki kuzalisha mkaa bila contract na dangote kwa sababu yeye anawapa wao order wanainvest kwenye mining kwa ajili yake alafu haendi kuchukua kwa mujibu ya muhongo siku ile kenye TV alisema kuna rani 5000 pale za coal aliwaambia wazalishaji hakwenda kuchukua. Hata siku aliyoenda muhongo Ngaka hawakwenda WAKATI waliambiwa watu wote waende wakamalize ubishi huo mgodini hawakwenda.

Hajawaipeleka hzo gar alileta kwa ajil ya kusambazia cement na kubebea coal sasa why walimwambia azitoe..???? Kama sio upuuzi
 
Back
Top Bottom