Kama Taifa, tuambiwe ubora wa Makaa ya Mawe na Chuma cha Liganga. Kwanini wawekezaji wanayakataa?

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,438
14,916
kadri siku zinavyoenda siri zinafichuka,kumbe makaa ya mawe ambayo tumekuwa tukijisifia nayo hayana ubora wa kufaa kutumika.

Dangote kayakataa,ndio maana nilikuwa najiuliza,dunia ilivyo na shida ya nishati kweli mgodi wa makaa ya mawe ungekaa miaka yote hiyo bila uwekezaji?hata mkoloni hakuyahitaji?

Hii ni sawa na chuma cha liganga,je nacho kina ubora?dunia ilivyo na shida na madini ya chuma kweli liganga ingekosa mwekezaji ?

naanza kupata wasiwasi na ubora wa chuma cha liganga pia,

na inawezekana kama taifa tunajisifia vitu viiingi kwamba tunavyo,kumbe mapumba tu
 
Hizo ni janja tu. Unakumbuka nguzo za za umeme za Tanesco zilikuwa zina "agizwa" kutoka sauzi afrika? Wakasema hizi za Mufindi hazina kiwango? Wajuzi wakatuambia kuwa hizi za Mufindi zinapelekwa Kenya halafu zinafanya U-Turn kuja Tanzania na tunaambiwa zinatoka sauzi afrika. Na tukakubalishwa.
Sasa kama haya makaa ya Mawe hayana ubora kwa nini nchi nyingine wanayataka haya makaa "yasiyo na kiwango"? Hapo ni 1 milioni kwesheni
 
Hizo ni janja tu. Unakumbuka nguzo za za umeme za Tanesco zilikuwa zina "agizwa" kutoka sauzi afrika? Wakasema hizi za Mufindi hazina kiwango? Wajuzi wakatuambia kuwa hizi za Mufindi zinapelekwa Kenya halafu zinafanya U-Turn kuja Tanzania na tunaambiwa zinatoka sauzi afrika. Na tukakubalishwa.
Sasa kama haya makaa ya Mawe hayana ubora kwa nini nchi nyingine wanayataka haya makaa "yasiyo na kiwango"? Hapo ni 1 milioni kwesheni
taja nchi moja inayoyataka
 
Hizo ni janja tu. Unakumbuka nguzo za za umeme za Tanesco zilikuwa zina "agizwa" kutoka sauzi afrika? Wakasema hizi za Mufindi hazina kiwango? Wajuzi wakatuambia kuwa hizi za Mufindi zinapelekwa Kenya halafu zinafanya U-Turn kuja Tanzania na tunaambiwa zinatoka sauzi afrika. Na tukakubalishwa.
Sasa kama haya makaa ya Mawe hayana ubora kwa nini nchi nyingine wanayataka haya makaa "yasiyo na kiwango"? Hapo ni 1 milioni kwesheni
Jibu swali la iparamasa kama mwanamke kweli
 
kadri siku zinavyoenda siri zinafichuka,kumbe makaa ya mawe ambayo tumekuwa tukijisifia nayo hayana ubora wa kufaa kutumika.

Dangote kayakataa,ndio maana nilikuwa najiuliza,dunia ilivyo na shida ya nishati kweli mgodi wa makaa ya mawe ungekaa miaka yote hiyo bila uwekezaji?hata mkoloni hakuyahitaji?

Hii ni sawa na chuma cha liganga,je nacho kina ubora?dunia ilivyo na shida na madini ya chuma kweli liganga ingekosa mwekezaji ?

naanza kupata wasiwasi na ubora wa chuma cha liganga pia,

na inawezekana kama taifa tunajisifia vitu viiingi kwamba tunavyo,kumbe mapumba tu
Unajua muda mwingine huwa sioni sababu ya kujadili na watu kwa baadhi ya mada hapa Jf kwakuwa huwa naona mnaropoka tuu na huwa si wafatiliaji kabisa.
Kama ulimsikiliza vyema waziri Mwijage na Muhongo kuhusu swala la ubora wa makaa ya mawe ya huko liganga walisema wazi baada ya kuzuka kwa hoja kuwa makaa hayo hayana ubora walipeleka sample zote kwenye vipimo na kubainika kuwa ubora wa makaa ya mawe ya hapo Liganga ni sawa na wa yale wanayo kwenda kuchukua south africa....
Serikali ilienda mbele zaidi na ikampunguzia bei ya makaa ya mawe hayo na gharama za usafirishaji..yani ukipiga gharama za usafirishaji na bei ya makaa ya mawe kutoka south africa na ukilinganisha na hapo mchuchuma yakwetu ni nafuu.

Nawashauri muwe mnafatilia habari zaidi kabla ya kuja kutundika nyuzi humu tatizo mara nyingi huwa mnatafuta umaarufu bure bila sababu...serikali haiwezi kumlazimisha achukue makaa yale kama hayana ubora.
 
mengi tunayoambiwa ni propaganda,dangote katuumbua mchana kweupe kwamba makaa yetu hayana ubora kimataifa
Ukijadili hoja kwa mtazamo kipinzani bila kuwa na mtazamo wa kitaifa ni lazima utawaza upuuzi ty
 
Makaa ya mawe hayana viwango, serikali isimpangie mwekezaji atumie malighafi zisizo na viwango sababu tu lazima atumie vya ndani
 
Bwana kuna mtaalam nimeongea naye pale Wizarani, Bila kumungunya maneno, kasema Dangote yuko sahii. Yale makaa ya mawe hayafai alafu ghali sana. Mbaya zaidi ni gharama za usafirishaji
Mtaalamu wa nini na wizara hipi!
 
nilidhani Una Akili Timamu, Kumbe Hovyo Kabisa Mleta Mada...

Nani alikwambia kuwa Makaa Yetu Ya Mawe Hayana Ubora?

Mbona Twiga Wanayatumia? Nyati, Rhino, Lucky nk. Mbona wao Wanayatumia?

Taarifa Ya Ubora Wa Makaa Ya Mawe Upewe kama Nani? Kwani Ulishaitafuta Ukaikosa? Kwani Juzi hukusikiliza Taarifa Ya Waziri Muhongo Akizungumzia Taasisi Za Ndani Na Nje zilizopima Ubora wa Makaa Yetu Ya Mawe?

Upuuzi Mtupu, Kama huna hoja Kaa Kimya.
 
Chuma hakinaga mambo ya ubora.Liganga iko poa, sema chuma kimepungua mahitaji.Ukitaka kujua zaidi ntakueleza.Makaa ya mawe ni kweli ubora haupo.Ubora wa makaa ya mawe ni ash content.Yaani yana jivu kiasi gani.Sasa ya kwetu jivu jingi kwa hiyo kinachobakia kwa uzalishaji ni kidogo, hakina faida.
 
Bwana kuna mtaalam nimeongea naye pale Wizarani, Bila kumungunya maneno, kasema Dangote yuko sahii. Yale makaa ya mawe hayafai alafu ghali sana. Mbaya zaidi ni gharama za usafirishaji


Acha Upumbavu wewe, huyo Mtaalamu wako Na Waziri wa Madini nani mkweli?

Kwa nini Viwanda vingine vya Cement vinayatumia kama hayana Ubora?
 
taja nchi moja inayoyataka
Haya makaa ya mawe ya ngaka yanapelekwa Kenya,Uganda,Malawi na rwanda upoo acha uzushi wewee tafuta data ndio uje Kuharisha uongo wako hapa data huna mnasoma kwenye magazeti habari za uongo mnakuja kuaminisha watu mambo ambayo Hayapo,kwa taarifa yako mchuchuma hawachimbi makaa ya mawe, Tanzania makaa ya make yanachimbwa ngaka mbinga Ruvuma tu.
 
Unaweza kuta yana ubora sawa, ila tofauti inaweza kuwa ya huku yanamilikiwa kwa ubia na wanasiasa wanaotaka bei yao ndo itumike, wanayoyamiliki hawana akili ya kuyafanyia processing yawe bora zaidi. Nahisi kuna wanasiasa wana ubia na hayo madini.
 
Unajua muda mwingine huwa sioni sababu ya kujadili na watu kwa baadhi ya mada hapa Jf kwakuwa huwa naona mnaropoka tuu na huwa si wafatiliaji kabisa.
Kama ulimsikiliza vyema waziri Mwijage na Muhongo kuhusu swala la ubora wa makaa ya mawe ya huko liganga walisema wazi baada ya kuzuka kwa hoja kuwa makaa hayo hayana ubora walipeleka sample zote kwenye vipimo na kubainika kuwa ubora wa makaa ya mawe ya hapo Liganga ni sawa na wa yale wanayo kwenda kuchukua south africa....
Serikali ilienda mbele zaidi na ikampunguzia bei ya makaa ya mawe hayo na gharama za usafirishaji..yani ukipiga gharama za usafirishaji na bei ya makaa ya mawe kutoka south africa na ukilinganisha na hapo mchuchuma yakwetu ni nafuu.

Nawashauri muwe mnafatilia habari zaidi kabla ya kuja kutundika nyuzi humu tatizo mara nyingi huwa mnatafuta umaarufu bure bila sababu...serikali haiwezi kumlazimisha achukue makaa yale kama hayana ubora.

Swala- suala jifunze kuandika kwanza
 
Back
Top Bottom