kalamu ya chuma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 214
- 62
kuna mtu alikuwa ananiuliza kwa haraka haraka jana na ikanifikirisha sana,eti kweli kama siasa na makongamano yake ukiachilia mbali 'amshaamsha' kama ilivyokuwa enzi za Mh Kikwete hivi hawa wanaohama sasa wangeendelea na kuhama na kujisifu saana kama ilivyo sasa? kama hamuamini zilruhusiwe muone haami mtu hapo hahaha ninawaza tuu