johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Wayahudi walimpeleka Yesu mbele ya Pontio Pilato shtaka kuu likiwa "alijifanya ni Mfalme wa Wayahudi".
Pontio Pilato alitumia mbinu nyingi kutaka kumnusuru Yesu lakini ilishindikana baada ya Wayahudi kujiapiza kuwa Damu ya Yesu na iwe juu yao na vizazi vyao.
Mwisho Pilato akawakabidhi Yesu wakamsulubishe LAKINI cha ajabu Pontio Pilato akaandika Juu ya Msalaba "Huyu ni Yesu wa Nazareth Mfalme wa Wayahudi" na Wayahudi wakashangilia sana.
Nimesoma kwa sehemu uamuzi wa Jaji Mkeha Juu ya Shauri la Halima Mdee na wenzake na nimeona pahala anasema "Uamuzi wa Kamati Kuu ya CHADEMA ulikuwa sahihi".
Ndio najiuliza kama Uamuzi wa Kamati Kuu ulikuwa sahihi, huo Usahihi unaishia wapi?
Kama Kamati Kuu ilikuwa Sahihi maana yake kuna kipindi fulani kabla Covid-19 hawajakata Rufaa walikuwa siyo Wabunge. Kwa kifupi Jaji apewe maua yake!
CHADEMA itisheni Baraza Kuu msameheane Taifa lisonge mbele.
Pontio Pilato alitumia mbinu nyingi kutaka kumnusuru Yesu lakini ilishindikana baada ya Wayahudi kujiapiza kuwa Damu ya Yesu na iwe juu yao na vizazi vyao.
Mwisho Pilato akawakabidhi Yesu wakamsulubishe LAKINI cha ajabu Pontio Pilato akaandika Juu ya Msalaba "Huyu ni Yesu wa Nazareth Mfalme wa Wayahudi" na Wayahudi wakashangilia sana.
Nimesoma kwa sehemu uamuzi wa Jaji Mkeha Juu ya Shauri la Halima Mdee na wenzake na nimeona pahala anasema "Uamuzi wa Kamati Kuu ya CHADEMA ulikuwa sahihi".
Ndio najiuliza kama Uamuzi wa Kamati Kuu ulikuwa sahihi, huo Usahihi unaishia wapi?
Kama Kamati Kuu ilikuwa Sahihi maana yake kuna kipindi fulani kabla Covid-19 hawajakata Rufaa walikuwa siyo Wabunge. Kwa kifupi Jaji apewe maua yake!
CHADEMA itisheni Baraza Kuu msameheane Taifa lisonge mbele.