gaijin mbaya sana
Mkuu wangu njia za kuzuia ujuzito zipo nyingi na zinajulikan na asilimi kubwa ya wanawake.Mimi njiA niliyochGuA ni kutojihusisha kabisa na masualA ya ngono hadi ndoa.ila hapa suala ni kuwa kutoa mimba ni uuaji hivyo hAta Leo hii nikibakwa nikapata ujauzito ambao kwa kweli utavuruga mipango mingi ya maish yangu sitaweza kuwa mkatili kiasi Cha kukatisha uhai wa huyo mtoto,nitampenda na kuilea hiyo mimba kwa furah
Uelewa wetu mdogo unatufanya tusione athari ya kufanya baadhi ya mambo ya kikatili kwa wenzetu.majuto mjukuu
NdahAni piA na roho ya ukatili inachangia,Huyu dada huwa namuangAliA hAta Imani naye sina tenA.
Kutukana ni dhambi na kuuA ni dhAmbi na zote ni machukizo mbele za mungu ila Mimi naweza kunywa maji nlopewa na alotukAnA ilA ya muuaji sitaweza kuyanywA nitahisi yanAnuka damu.
well saidMwenyezi mungu ndio anaejua zaidi vp atamuhukumu kwa kosa hilo....
Hapo mie nakataa .......
Nayo hiyo pia ni dhambi kwa siye wapenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili
kwanini unakataa ushauri wa queenkami maana ikitokea mtoto wako amekuja na tatizo utafanyaje maana hata ukimpiga tayari watu wamemchakachua
Thank you
Sijakataa ushauri wa Queen Kami hata chembe. Nakataa tu kuwa mimba ya siku moja tayari ni binaadamu. Ni uhai, lakini si binaadamu
Maana kama ni hivyo, ua la muembe likituliwa na nyuki na kuwa fertilized tu, basi hapo hapo tuliite embe, tulichume tukafanye achari
Karudie tena kusoma hizo theories, zilishagundulika kuwa hazikuwa za kweli siku nyingi.
We nawe sasa umezidisha unajifanya mtakatifu sana, na kwanini unamuhukumu binadamu mwenzio?
vyovyote utakavyoona huo ndo mtizamo wangu,kwangu mimi kutoa mimba ni uuaji sasa kama wewe unaona najifanya mtakatifu kwa kuita hicho kitendo ni mauaji ya kikatili poa tu.
Mbona wewe umenihukumu kwa kusema najifanya mtakatifu kisa tu nimesema nikipewa maji na muuaji/mtoa mimba sitakunywa?semeni msemayo watoa mimba ni wauaji............................
Sio mijusi na kenge inayoanzia uhai kwenye binaadamu bali uhai wa binaadamu umeanzia kupitia kwao wao
Kwa ufupi ni kuwa kima na mijusi ni babu na bibi zako
Tukiamua kwenda hivyo tutafika mahali tuseme mijusi, kenge, na kima ni binaadamu
Kwa hiyo kuua mjusi ni sawa na kuua bibi yako [mjusi is more of a babu I suppose].
Anaemuua mjusi kaua binaadamu
Huyo rafiki yako simzima! Kwa hiyo alikuwa hajuai ana ua!
Kwa hiyo alikuwa hajui mimba nini?
Nia yake ilikuwa ni kutaoa mimba wala si mabonge ya damu!
Wale wale wauaji
ange kwambia sababu nyingine siyo hiyo!
i dont condone this but how old was she at the time? was she a student or unmarried and which year was it?
hahaah queenkami mambo? usijali najua li iPhone hujalizoea mwanawane.
mada nzuri, kutoa mimba kwa makusudi haikubaliki kabisa