KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi chama nimekichoka na sikipendi kwanini mtishie maisha yangu na kunifanya mtumwa wachama hicho??sasa hapo uhuru wangu uko wapi?Nanichukuliwa kama nimehaini kwa sababu ya mitizamo na itikadi hivi kweli CCM mnatupeleka wapi watanzania wa nchi hii??Lichama nimelichoka mnaning'ang'aniza kuwepo!!Nikitoka kibabe au ikisemekana nataka kuacha unasikia naitwa dodoma..............................!!
Ukijifanya mbishi utajikuta uko Aporo India!!Sasa nini??
Ukijifanya mbishi utajikuta uko Aporo India!!Sasa nini??