kwani hapo tatizo nn haswa inategemea mpiga picha alipiga wakati wife alikuwa kwanye modi gani ila uwezi kujaji kwamba awapendani kwani wawili awatembei pamoja pasipo kuelewana
hivi mnategemea watu wanaopenda ndio wasitofautiane hata dakika moja?
si dhani kama humpendi mama yako au yeye hakupendi, lakini nna hakika keshawahi kukukunjia uso na wewe pia.
Mh .........jamani haya yote mnayatoa kwenye kuiona hii picha ama mnayo myajuayo nyuma ya pazia! Pose or not halina uhusianao na ndoa ya huyo star!
Nakwenda mbali zaidi nampongeza msanii sijui star husika kwa kupiga picha na mkewe eer kama kweli huyu ni mkewe wengi wa mastar i mean wasanii bongo hawako open hivi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.