Itakuwa ni halali mzee kucharaza watu bakora na kuwaagiza kuwa wakawasimulie na wake zao kuwa Mwalimu ametuchapa leo Iku...
Anayefuata kwenye katoon hii ni PM wetu, mheshimiwa PindaNaona hapo Mkapa kishapata fimbo zake na jk ndo anapata mgao wake, hivi anayefatia kwenye cartoon ni nani???, kwa nyuma ya huyo namwona lowasa na je wa mwisho ni kawawa??
Nice cartoon!
Simwoni Kingunge kwenye foleni hiyo!
Naona hapo Mkapa kishapata fimbo zake na jk ndo anapata mgao wake, hivi anayefatia kwenye cartoon ni nani???, kwa nyuma ya huyo namwona lowasa na je wa mwisho ni kawawa??