Ninavyofahamu Marais wote waliowahi kuitawala Tanzania Nyerere, Mwinyi na Mkapa at anytime
waliwahi kutunukiwa honorary Doctorate, lakini sikuwahi kuwasikia kamwe wakijiita/wakiitwa
Dr. so and so
Lakini kwa huyu tuliye naye sasa ni tofauti kabisa. Je ni kwanini JK yuko so obsessed kuitwa Dr. Kikwete?
waliwahi kutunukiwa honorary Doctorate, lakini sikuwahi kuwasikia kamwe wakijiita/wakiitwa
Dr. so and so
Lakini kwa huyu tuliye naye sasa ni tofauti kabisa. Je ni kwanini JK yuko so obsessed kuitwa Dr. Kikwete?