Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 765
- 1,669
Wanawake hawapendi watoto wasiowazaa hasa hawa watoto wadogo.
Kama wewe uliachana na mama wa mtoto wako kisa alikucheat, ni kwamba; mtoto huyo anapata maumivu makali kutoka kwa huyo mkeo unaemuona mwaminifu kuliko mama yake!
Hakuna mama wa kambo salama kwa malezi ya wanao, usidanganywe!
Baba fuatilia malezi ya mwanao kwa ukaribu.
Kama wewe uliachana na mama wa mtoto wako kisa alikucheat, ni kwamba; mtoto huyo anapata maumivu makali kutoka kwa huyo mkeo unaemuona mwaminifu kuliko mama yake!
Hakuna mama wa kambo salama kwa malezi ya wanao, usidanganywe!
Baba fuatilia malezi ya mwanao kwa ukaribu.