Pengine... Ila mbona hata huyo Jacko mwingine bado ni mweupe?
tatizo la hii simulation ni kuwa Michael Jackson alikuwa hali chakula lakini huyu imposter aelekea anapakia ugali kiusawasawa............
View attachment 29865
Kuna mtu alitumia programu ya kompyuta kupata picha ya kulia. Eti Michael
angekuwa hivyo kama asingetumia plastiki surgery na kujikrimu.
Tukianzia hapa labda tutapata picha yake nzuri ya uzeeni.
Pua ni BAPA kutokana na madhara ya kubebwa mgongoni. Huyu aliamua kuikimbia pua yake.