Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda tb Joshua walifika wakasema mbona ulisema lowasa atakuwa rais alaf akakatwa? Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi lowasa ndo raisi, siku wanafika Tanzania wakakuta ndo siku lowasa anajiunga na chadema peplessssssssssssssssssss
TB Joshua alimwambia arudishe kwanza pesa zote alizoiba, je amesharudisha?
Mkuu huyo Joshua angekuwa mkali jengo lake lisinge poromoka na kuua waumini lukuki!! Kwa nini hakuweza kutabiri in advance what was coming kwenye nyumba yake ya ibada?
Hatabiri kwa mapenzi yake,wala akili yake bali kwa Roho ya Bwana......hata hivyo kwenye bible tunawaona mitume wengi tu walijaribiwa haimaanishi ni Mungu hawapendi but sometime Mungu anaruhusu wajaribiwe kwa ajili ya utukufu wake.
Mkuu huyo Joshua angekuwa mkali jengo lake lisinge poromoka na kuua waumini lukuki!! Kwa nini hakuweza kutabiri in advance what was coming kwenye nyumba yake ya ibada?
masikhara haya ..Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi lowasa ndo raisi, siku wanafika Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA peplessssssssssssssssssss.
Mkuu huyo Joshua angekuwa mkali jengo lake lisinge poromoka na kuua waumini lukuki!! Kwa nini hakuweza kutabiri in advance what was coming kwenye nyumba yake ya ibada?