Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,939
- 4,705
Hayo unaleta wewe, chadema haitotawala hii nchi, kumbuka hilo.
Jiandae kuvaa mabomu
Hayo unaleta wewe, chadema haitotawala hii nchi, kumbuka hilo.
Mlipomtema,mngefuata utaratibu tu ila mkatumia ubabe sasa mnalia nini? Hivi ni vyama Vingi au mlisahau? Mwacheni mzee wa watu aangalie plan B
Jiandae kuvaa mabomu
Nyie ngojeni uchaguzi ndiyo mtajuwa kwanini tulimtema huyo.
Hata Mzee Sabodo alikwishasema anatarajia kuuona upinzani ukiwa madarakani kabla hajafa!
Hayo unaleta wewe, chadema haitotawala hii nchi, kumbuka hilo.
Najaribu Kutengeneza picha kichwani FF akitaga ata kaaje nimeshindwa
Wewe unamsikiliza porojo zake? waliotemwa wote hakuna hata mmoja alisema utaratubi haukufatwa, yeye kama nani zaidi mgonjwa mwenye uchu wa madaraka?
Mnaonishangza ni nyinyi mnakunywa matapishi yenu? Kulikoni?
Leo ndiyo nimejuwa mchagga kwa pesa anaweza kula matapishi yake.
mh Edward lowasa alionekana amehudhuria kwa mchungaji Joshua na kutabiri kuwa raisi wa tanzania je utabiri utatimia kupitia ukawa baada ya kukatwa na ccm.au ndo utakuwa mwisho wa kumwamini TB JOSHUA na Gwajima ule utabiri wake pale Arusha lowasa alipotangaza safari ya matumaini.
Asiposhinda uchaguzi mkuu ?
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.Katika moja ya vikao vya bunge la Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Sasa inakuwaje tunasikia katika makundi ndani ya CCM(mafisadi) kundi lake ndilo hutumia fedha kwa kiasi kikubwa ili kupenyeza watu wake kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali; huku yeye Lowassa akijiandaa kugombea urais kwa tiketi ya ccm kwa kutumia fedha? Je, hauamini unabii uliotolewa juu yake na TB Joshua? Kwa nini amsaidie mungu kukamilisha unabii wake? Au huyo, mbunge mwanamama alikuwa mzushi tu?
Mh. E. Lowassa akiwa Nigeria akishiriki ibada katika SOAN na mwenye kipaza sauti ni nabii TB Joshua
mwaka jana.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
Edward Ngoyai Lowassa ndiye rais wa tano wa JMT!.
Pasco