Hebu fikiria mwaka 2000 Njelu Kasaka (MB) enzi hizo alikuja shuleni CHUSECO akasema barabara ya chunya mbeya itajengwa kwa rami mara moja.sasa wewe mkaz wa chunya na mpenda maendeleo ubabaishaji huu utaendelea mpaka lini?Leo mchina amejaza uchafu barabarani,nauli juu,jamani wakaz wa chunya hayo sio maisha hiyo barabara inasubiri uchaguzi 2015.Chukua hatua