Akizungumza kupitia ITV habari amesema,Mh jaji Warioba hapaswi kuzuia watu wasijadili kile wanachoona kinapaswa kujadiliwa kama maswala ya muungano na haki za kila kada ndani ya jamii.
Ni kweli Jaji amesema hataki mashinikizo!sasa maana yake hataki watu waweke wazi madai yao ikiwemo muungano??kazi itamshinda hata kabla hajaanza!!!mashinikizo lazima sana maana tuna mambo mengi sana mje mtayajua!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.