Wakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!
Bwana awe nanyi katika kipindi hiki kigumu machopitia! Kuna usemi nasema Kosa Hela Ujue Kipaji Chako Na Pata Hela Ushangae Tamaa Yako! Sasa katika kipindi hiki msichokuwa na kazi ndo mda wa kujua vipaji vyenu! Ngoja niwape miongozo kadhaa jinsi ya kupata kazi mujini hapa!
1.Recruitment Agencys- Mambo za kuhangaika na ma CV imepitwa na wakati, Mambo yote ni kupeleka CV zenu kwa hawa agents then wanakuinterview na kuwalink na Clients wao wa ukweee! ,Mfano RADAR RECRUITMENT ni agent wa siku nyingi wa GAPCO na PUMA OIL! Sasa usitegemee utapata kaz kubwa kwenye makampuni makubwa bila hawa magent kupata chao! (Kampuni ndio inalipa sio wewe) Mimi RADAR walinipeleka kwa clients 2 tukashindwana maslahi coz mimi ni mvivu plus nataka pesa nyingi! Kuna Enrich Africa pia alinipeleka kwa clients 3, wa maana basi tu mtu ukiwa hujielewi ndo hivo tena! Kuna EUROLINK (wanyonyaji sanaaa) Kuna PES (Wazushi) Shughulika Recruitmen(Wababaishaji) na wengineo! Jaribuni bahati zenu wadogo zangu! Kuna mtu alipelekwa GAPCO na RADAR kwa starting ya 1.8m enzi hizo ni lawyer huyo dada.(Let this serve as an inspiration)
2.Scholarship-Kama GPA zinasoma poa kuanzia 4 huko kuna mascholarship ya kumwagaaa kuanzia Ubalozi wa USA, JAPAN,CHINA, UK,TURKEY, RUSSIA na zinginezo! Sasa ushaona hapa na GPA unayo wahi ubalozi saa 12 sema naulizia Scholarship nimeambiwa zipo utaambiwa urudi mwezi wa ngapi! Na urudi! Sema siwafichi Mitihani ni Deadly kinomaaa! Mi wa USA ulinitoa knock out lasivo box zilinihusu sanaaa! Hizi scholarship za maana atii sio za wasiwasi kila kitu paid! Sema ndo ujikamue ufaulu huo mtihani wao! Baloz zote nilizotaja ndo miezi ya kufuatilia hii, wa 8 ni kukwea pipa! Sasa kaeni mkingaa sharubu mujini hapa muione habari yenu! Na mkienda mbane huko huko mpate uraia sio kujifanya vimbelembele front kurudi huku wakati mnaoa hali si shwari!
3.Mjiunge na Vyama vya Siasa! Mimi ni CCM damu, na asikwambie mtu kupata kazi mashirika ya uma Chama kinahusika sanaaa! Mnaweza hata kujiunga na chama cha hao wavaa magwanda ila mtapata network na exposure kuliko kushinda mnaangalia Woman of Steel na degree zenu! CCM is a Plus coz ukiweza kumake a difference na kujulikana ushatoka! Kuna watu walijiunga na chama vyuoni now ni wabunge hawaangaiki na kudondosha CV
4.Pelekeni CV hizi new banks zinaajiri japo mboga ndogoo, ndogo kweli kweli! FMBE, EQUITY, FNB, NIC BANK, BOA, KCB,FINCA, AKIBA, BANK M, UBA etc Peleka zote hizo hutokosa hata moja ila ndo mjue kazi tembo mshahara sisimizi! Na shurba ya bank isikie tu kwa wenzio! Highest hapo ni UBA anatoa starting gross ya 900,000 hadi 2011 saivi siwezi jua sanaaa! Si haba kuliko kukaa home!
5.Hakuna kazi nzuri ni wewe mwenyewe tu unavochakarika kuzispot mishe mishe za ukweee! Hata kama mishe zinapigwa wewe hujastukia hupati kitu kabisaaa! Muwe wajanja wa kucheza na Over Time, kusaka marupu rupu na kukwapua inapobidi! Asikwambie mtu hela ya mishe tamuuu! Ila mkumbuke za mwizi arobaini! Mkishikwa mie simoo!
Mazingira ya kazi!
Nikiwa graduate wa 2010 nishaajiriwa zaidi ya 4 times sehemu tofauti tofauti! Kazi hizi za kuajiriwa hazitofautiani ni yale yale tu! Kampuni jina kubwa maslah hakunaa! Kila ukihama ni yale yale tu! So kama umeajiriwa usijione huna bahati ndo hali halisi, piga mzigo hapo! Watu wanadanganya mishahara yao! Ukweli kila mtu anaujua moyoni! Mtu yuko Auditing Firm jina kubwaa na CPA yake, hiyo Take home sasa Majanga Majanga! Akisafiri analipiwa Full Board baba zimaaa! Ila its better than nothing!
La msingi wadogo zangu mjipange mjiajiri, mfungue maconsultacy hata kuleta mizigo china poa tuu ndo mtatoka ila huku white collar bado sanaaa! Sikia tu mwenzio yuko CRDB jina kubwaa uliza Take home! Majanga plus plus! Tunashia Kuwa Kopa kopa UNTD tu! Mkopo juu ya mkopo!
Ila kuna watu na bahati zao wamewin bwana kwenye NGOs huko, Research, Projects na waliokaa kwenye Mirija aka vitengo madhubuti! You never know na nyie mnaweza kuwa kati ya hao wachache wenye bahati! Zidisheni maombi! Otherwise niwatakie Saga Lami njema!
Wakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!
Bwana awe nanyi katika kipindi hiki kigumu machopitia! Kuna usemi nasema Kosa Hela Ujue Kipaji Chako Na Pata Hela Ushangae Tamaa Yako! Sasa katika kipindi hiki msichokuwa na kazi ndo mda wa kujua vipaji vyenu! Ngoja niwape miongozo kadhaa jinsi ya kupata kazi mujini hapa!
1.Recruitment Agencys- Mambo za kuhangaika na ma CV imepitwa na wakati, Mambo yote ni kupeleka CV zenu kwa hawa agents then wanakuinterview na kuwalink na Clients wao wa ukweee! ,Mfano RADAR RECRUITMENT ni agent wa siku nyingi wa GAPCO na PUMA OIL! Sasa usitegemee utapata kaz kubwa kwenye makampuni makubwa bila hawa magent kupata chao! (Kampuni ndio inalipa sio wewe) Mimi RADAR walinipeleka kwa clients 2 tukashindwana maslahi coz mimi ni mvivu plus nataka pesa nyingi! Kuna Enrich Africa pia alinipeleka kwa clients 3, wa maana basi tu mtu ukiwa hujielewi ndo hivo tena! Kuna EUROLINK (wanyonyaji sanaaa) Kuna PES (Wazushi) Shughulika Recruitmen(Wababaishaji) na wengineo! Jaribuni bahati zenu wadogo zangu! Kuna mtu alipelekwa GAPCO na RADAR kwa starting ya 1.8m enzi hizo ni lawyer huyo dada.(Let this serve as an inspiration)
2.Scholarship-Kama GPA zinasoma poa kuanzia 4 huko kuna mascholarship ya kumwagaaa kuanzia Ubalozi wa USA, JAPAN,CHINA, UK,TURKEY, RUSSIA na zinginezo! Sasa ushaona hapa na GPA unayo wahi ubalozi saa 12 sema naulizia Scholarship nimeambiwa zipo utaambiwa urudi mwezi wa ngapi! Na urudi! Sema siwafichi Mitihani ni Deadly kinomaaa! Mi wa USA ulinitoa knock out lasivo box zilinihusu sanaaa! Hizi scholarship za maana atii sio za wasiwasi kila kitu paid! Sema ndo ujikamue ufaulu huo mtihani wao! Baloz zote nilizotaja ndo miezi ya kufuatilia hii, wa 8 ni kukwea pipa! Sasa kaeni mkingaa sharubu mujini hapa muione habari yenu! Na mkienda mbane huko huko mpate uraia sio kujifanya vimbelembele front kurudi huku wakati mnaoa hali si shwari!
3.Mjiunge na Vyama vya Siasa! Mimi ni CCM damu, na asikwambie mtu kupata kazi mashirika ya uma Chama kinahusika sanaaa! Mnaweza hata kujiunga na chama cha hao wavaa magwanda ila mtapata network na exposure kuliko kushinda mnaangalia Woman of Steel na degree zenu! CCM is a Plus coz ukiweza kumake a difference na kujulikana ushatoka! Kuna watu walijiunga na chama vyuoni now ni wabunge hawaangaiki na kudondosha CV
4.Pelekeni CV hizi new banks zinaajiri japo mboga ndogoo, ndogo kweli kweli! FMBE, EQUITY, FNB, NIC BANK, BOA, KCB,FINCA, AKIBA, BANK M, UBA etc Peleka zote hizo hutokosa hata moja ila ndo mjue kazi tembo mshahara sisimizi! Na shurba ya bank isikie tu kwa wenzio! Highest hapo ni UBA anatoa starting gross ya 900,000 hadi 2011 saivi siwezi jua sanaaa! Si haba kuliko kukaa home!
5.Hakuna kazi nzuri ni wewe mwenyewe tu unavochakarika kuzispot mishe mishe za ukweee! Hata kama mishe zinapigwa wewe hujastukia hupati kitu kabisaaa! Muwe wajanja wa kucheza na Over Time, kusaka marupu rupu na kukwapua inapobidi! Asikwambie mtu hela ya mishe tamuuu! Ila mkumbuke za mwizi arobaini! Mkishikwa mie simoo!
Mazingira ya kazi!
Nikiwa graduate wa 2010 nishaajiriwa zaidi ya 4 times sehemu tofauti tofauti! Kazi hizi za kuajiriwa hazitofautiani ni yale yale tu! Kampuni jina kubwa maslah hakunaa! Kila ukihama ni yale yale tu! So kama umeajiriwa usijione huna bahati ndo hali halisi, piga mzigo hapo! Watu wanadanganya mishahara yao! Ukweli kila mtu anaujua moyoni! Mtu yuko Auditing Firm jina kubwaa na CPA yake, hiyo Take home sasa Majanga Majanga! Akisafiri analipiwa Full Board baba zimaaa! Ila its better than nothing!
La msingi wadogo zangu mjipange mjiajiri, mfungue maconsultacy hata kuleta mizigo china poa tuu ndo mtatoka ila huku white collar bado sanaaa! Sikia tu mwenzio yuko CRDB jina kubwaa uliza Take home! Majanga plus plus! Tunashia Kuwa Kopa kopa UNTD tu! Mkopo juu ya mkopo!
Ila kuna watu na bahati zao wamewin bwana kwenye NGOs huko, Research, Projects na waliokaa kwenye Mirija aka vitengo madhubuti! You never know na nyie mnaweza kuwa kati ya hao wachache wenye bahati! Zidisheni maombi! Otherwise niwatakie Saga Lami njema!
sasa hapo unawafundisha jinsi ya kuomba kazi wape mbinu za kujiajiri wenyeweWakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!
Bwana awe nanyi katika kipindi hiki kigumu machopitia! Kuna usemi nasema Kosa Hela Ujue Kipaji Chako Na Pata Hela Ushangae Tamaa Yako! Sasa katika kipindi hiki msichokuwa na kazi ndo mda wa kujua vipaji vyenu! Ngoja niwape miongozo kadhaa jinsi ya kupata kazi mujini hapa!
1.Recruitment Agencys- Mambo za kuhangaika na ma CV imepitwa na wakati, Mambo yote ni kupeleka CV zenu kwa hawa agents then wanakuinterview na kuwalink na Clients wao wa ukweee! ,Mfano RADAR RECRUITMENT ni agent wa siku nyingi wa GAPCO na PUMA OIL! Sasa usitegemee utapata kaz kubwa kwenye makampuni makubwa bila hawa magent kupata chao! (Kampuni ndio inalipa sio wewe) Mimi RADAR walinipeleka kwa clients 2 tukashindwana maslahi coz mimi ni mvivu plus nataka pesa nyingi! Kuna Enrich Africa pia alinipeleka kwa clients 3, wa maana basi tu mtu ukiwa hujielewi ndo hivo tena! Kuna EUROLINK (wanyonyaji sanaaa) Kuna PES (Wazushi) Shughulika Recruitmen(Wababaishaji) na wengineo! Jaribuni bahati zenu wadogo zangu! Kuna mtu alipelekwa GAPCO na RADAR kwa starting ya 1.8m enzi hizo ni lawyer huyo dada.(Let this serve as an inspiration)
2.Scholarship-Kama GPA zinasoma poa kuanzia 4 huko kuna mascholarship ya kumwagaaa kuanzia Ubalozi wa USA, JAPAN,CHINA, UK,TURKEY, RUSSIA na zinginezo! Sasa ushaona hapa na GPA unayo wahi ubalozi saa 12 sema naulizia Scholarship nimeambiwa zipo utaambiwa urudi mwezi wa ngapi! Na urudi! Sema siwafichi Mitihani ni Deadly kinomaaa! Mi wa USA ulinitoa knock out lasivo box zilinihusu sanaaa! Hizi scholarship za maana atii sio za wasiwasi kila kitu paid! Sema ndo ujikamue ufaulu huo mtihani wao! Baloz zote nilizotaja ndo miezi ya kufuatilia hii, wa 8 ni kukwea pipa! Sasa kaeni mkingaa sharubu mujini hapa muione habari yenu! Na mkienda mbane huko huko mpate uraia sio kujifanya vimbelembele front kurudi huku wakati mnaoa hali si shwari!
3.Mjiunge na Vyama vya Siasa! Mimi ni CCM damu, na asikwambie mtu kupata kazi mashirika ya uma Chama kinahusika sanaaa! Mnaweza hata kujiunga na chama cha hao wavaa magwanda ila mtapata network na exposure kuliko kushinda mnaangalia Woman of Steel na degree zenu! CCM is a Plus coz ukiweza kumake a difference na kujulikana ushatoka! Kuna watu walijiunga na chama vyuoni now ni wabunge hawaangaiki na kudondosha CV
4.Pelekeni CV hizi new banks zinaajiri japo mboga ndogoo, ndogo kweli kweli! FMBE, EQUITY, FNB, NIC BANK, BOA, KCB,FINCA, AKIBA, BANK M, UBA etc Peleka zote hizo hutokosa hata moja ila ndo mjue kazi tembo mshahara sisimizi! Na shurba ya bank isikie tu kwa wenzio! Highest hapo ni UBA anatoa starting gross ya 900,000 hadi 2011 saivi siwezi jua sanaaa! Si haba kuliko kukaa home!
5.Hakuna kazi nzuri ni wewe mwenyewe tu unavochakarika kuzispot mishe mishe za ukweee! Hata kama mishe zinapigwa wewe hujastukia hupati kitu kabisaaa! Muwe wajanja wa kucheza na Over Time, kusaka marupu rupu na kukwapua inapobidi! Asikwambie mtu hela ya mishe tamuuu! Ila mkumbuke za mwizi arobaini! Mkishikwa mie simoo!
Mazingira ya kazi!
Nikiwa graduate wa 2010 nishaajiriwa zaidi ya 4 times sehemu tofauti tofauti! Kazi hizi za kuajiriwa hazitofautiani ni yale yale tu! Kampuni jina kubwa maslah hakunaa! Kila ukihama ni yale yale tu! So kama umeajiriwa usijione huna bahati ndo hali halisi, piga mzigo hapo! Watu wanadanganya mishahara yao! Ukweli kila mtu anaujua moyoni! Mtu yuko Auditing Firm jina kubwaa na CPA yake, hiyo Take home sasa Majanga Majanga! Akisafiri analipiwa Full Board baba zimaaa! Ila its better than nothing!
La msingi wadogo zangu mjipange mjiajiri, mfungue maconsultacy hata kuleta mizigo china poa tuu ndo mtatoka ila huku white collar bado sanaaa! Sikia tu mwenzio yuko CRDB jina kubwaa uliza Take home! Majanga plus plus! Tunashia Kuwa Kopa kopa UNTD tu! Mkopo juu ya mkopo!
Ila kuna watu na bahati zao wamewin bwana kwenye NGOs huko, Research, Projects na waliokaa kwenye Mirija aka vitengo madhubuti! You never know na nyie mnaweza kuwa kati ya hao wachache wenye bahati! Zidisheni maombi! Otherwise niwatakie Saga Lami njema!
Wakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!
Bwana awe nanyi katika kipindi hiki kigumu machopitia! Kuna usemi nasema Kosa Hela Ujue Kipaji Chako Na Pata Hela Ushangae Tamaa Yako! Sasa katika kipindi hiki msichokuwa na kazi ndo mda wa kujua vipaji vyenu! Ngoja niwape miongozo kadhaa jinsi ya kupata kazi mujini hapa!
1.Recruitment Agencys- Mambo za kuhangaika na ma CV imepitwa na wakati, Mambo yote ni kupeleka CV zenu kwa hawa agents then wanakuinterview na kuwalink na Clients wao wa ukweee! ,Mfano RADAR RECRUITMENT ni agent wa siku nyingi wa GAPCO na PUMA OIL! Sasa usitegemee utapata kaz kubwa kwenye makampuni makubwa bila hawa magent kupata chao! (Kampuni ndio inalipa sio wewe) Mimi RADAR walinipeleka kwa clients 2 tukashindwana maslahi coz mimi ni mvivu plus nataka pesa nyingi! Kuna Enrich Africa pia alinipeleka kwa clients 3, wa maana basi tu mtu ukiwa hujielewi ndo hivo tena! Kuna EUROLINK (wanyonyaji sanaaa) Kuna PES (Wazushi) Shughulika Recruitmen(Wababaishaji) na wengineo! Jaribuni bahati zenu wadogo zangu! Kuna mtu alipelekwa GAPCO na RADAR kwa starting ya 1.8m enzi hizo ni lawyer huyo dada.(Let this serve as an inspiration)
2.Scholarship-Kama GPA zinasoma poa kuanzia 4 huko kuna mascholarship ya kumwagaaa kuanzia Ubalozi wa USA, JAPAN,CHINA, UK,TURKEY, RUSSIA na zinginezo! Sasa ushaona hapa na GPA unayo wahi ubalozi saa 12 sema naulizia Scholarship nimeambiwa zipo utaambiwa urudi mwezi wa ngapi! Na urudi! Sema siwafichi Mitihani ni Deadly kinomaaa! Mi wa USA ulinitoa knock out lasivo box zilinihusu sanaaa! Hizi scholarship za maana atii sio za wasiwasi kila kitu paid! Sema ndo ujikamue ufaulu huo mtihani wao! Baloz zote nilizotaja ndo miezi ya kufuatilia hii, wa 8 ni kukwea pipa! Sasa kaeni mkingaa sharubu mujini hapa muione habari yenu! Na mkienda mbane huko huko mpate uraia sio kujifanya vimbelembele front kurudi huku wakati mnaoa hali si shwari!
3.Mjiunge na Vyama vya Siasa! Mimi ni CCM damu, na asikwambie mtu kupata kazi mashirika ya uma Chama kinahusika sanaaa! Mnaweza hata kujiunga na chama cha hao wavaa magwanda ila mtapata network na exposure kuliko kushinda mnaangalia Woman of Steel na degree zenu! CCM is a Plus coz ukiweza kumake a difference na kujulikana ushatoka! Kuna watu walijiunga na chama vyuoni now ni wabunge hawaangaiki na kudondosha CV
4.Pelekeni CV hizi new banks zinaajiri japo mboga ndogoo, ndogo kweli kweli! FMBE, EQUITY, FNB, NIC BANK, BOA, KCB,FINCA, AKIBA, BANK M, UBA etc Peleka zote hizo hutokosa hata moja ila ndo mjue kazi tembo mshahara sisimizi! Na shurba ya bank isikie tu kwa wenzio! Highest hapo ni UBA anatoa starting gross ya 900,000 hadi 2011 saivi siwezi jua sanaaa! Si haba kuliko kukaa home!
5.Hakuna kazi nzuri ni wewe mwenyewe tu unavochakarika kuzispot mishe mishe za ukweee! Hata kama mishe zinapigwa wewe hujastukia hupati kitu kabisaaa! Muwe wajanja wa kucheza na Over Time, kusaka marupu rupu na kukwapua inapobidi! Asikwambie mtu hela ya mishe tamuuu! Ila mkumbuke za mwizi arobaini! Mkishikwa mie simoo!
Mazingira ya kazi!
Nikiwa graduate wa 2010 nishaajiriwa zaidi ya 4 times sehemu tofauti tofauti! Kazi hizi za kuajiriwa hazitofautiani ni yale yale tu! Kampuni jina kubwa maslah hakunaa! Kila ukihama ni yale yale tu! So kama umeajiriwa usijione huna bahati ndo hali halisi, piga mzigo hapo! Watu wanadanganya mishahara yao! Ukweli kila mtu anaujua moyoni! Mtu yuko Auditing Firm jina kubwaa na CPA yake, hiyo Take home sasa Majanga Majanga! Akisafiri analipiwa Full Board baba zimaaa! Ila its better than nothing!
La msingi wadogo zangu mjipange mjiajiri, mfungue maconsultacy hata kuleta mizigo china poa tuu ndo mtatoka ila huku white collar bado sanaaa! Sikia tu mwenzio yuko CRDB jina kubwaa uliza Take home! Majanga plus plus! Tunashia Kuwa Kopa kopa UNTD tu! Mkopo juu ya mkopo!
Ila kuna watu na bahati zao wamewin bwana kwenye NGOs huko, Research, Projects na waliokaa kwenye Mirija aka vitengo madhubuti! You never know na nyie mnaweza kuwa kati ya hao wachache wenye bahati! Zidisheni maombi! Otherwise niwatakie Saga Lami njema!
We vipi! Stimu zako zinanihusu nini? Nilichosema hapo ni ukweli mtupu! Hata kama hukufurahishi ndo ukweli wenyewe huo!
Na FYI nitapost huku kila nikijisikia! Mwenye macho haambiwi ona, kama hujaona la maana we ng'aa sharubu tu wenziio wakichua mi scholarship hiyo ya ukwee (Kwanza GPA ya 4 hunaaa ndo maana maana povu lazima likutoke)
Mwenzio sijielewi ndio ila nachosema cha ukweli mtupu!
Wellsaid...! Nimeisha teseka vya kutosha mpaka sasa hivi nachukia ajira kama kinyesi cha binadamu, kuhusu shule naona km nikuongeza umasikini mimi nimejitupa shambani tutafutane after 3 yrs..! Nitakupa ajira lara1.Ndo hivo dogolasi mfanye ipossible zihappen banaaa! Nendeni mchuke scholarship hizo muwahi boxi mje kututoa kimaisha!!!!
Ukishavunaaa njoo nikuchune baby wangu. Waukulima wa matikiti na vitunguu huwaga watamu sanaa, kwanza hela mnayo na kitandani mko vizurii.Wellsaid...! Nimeisha teseka vya kutosha mpaka sasa hivi nachukia ajira kama kinyesi cha binadamu, kuhusu shule naona km nikuongeza umasikini mimi nimejitupa shambani tutafutane after 3 yrs..! Nitakupa ajira lara1.
Sitaki tena ujinga wa shule nilipata scholarship USA mwaka juzi nikafanya PAPERS yao ikanipiga nilikosa 0.5 niliapa sitarudia tena.