jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,022
- 4,224
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu..
Bila ya kupepesa macho niwaambie wanaume wenzangu ukweli ulio mchungu kabisa,
Kama mke ulie nae, mpenzi au mchumba hukumkuta Bikra jua kabisa ni mke halali wa mwanaume mwenzako alie mtoa ubikra wake hivyo achana nae, tafta mke wako halali ...
Nb: kama alishindwa kua mwaminifu kwa mume wake wa awali ( alie mtoa bikra) ataachaje kukuletea nuksi na mavurugu ndani ya nyumba.
Acha kabisa huyo ni mke wa mtu haijalishi unampenda vipi au umezaa nae achana na mke wa mtu, tafuta wako
Bila ya kupepesa macho niwaambie wanaume wenzangu ukweli ulio mchungu kabisa,
Kama mke ulie nae, mpenzi au mchumba hukumkuta Bikra jua kabisa ni mke halali wa mwanaume mwenzako alie mtoa ubikra wake hivyo achana nae, tafta mke wako halali ...
Nb: kama alishindwa kua mwaminifu kwa mume wake wa awali ( alie mtoa bikra) ataachaje kukuletea nuksi na mavurugu ndani ya nyumba.
Acha kabisa huyo ni mke wa mtu haijalishi unampenda vipi au umezaa nae achana na mke wa mtu, tafuta wako