Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,282
Nashangaa mkuu huyo mtu alimtandika mgombea mwenzake na kumjeruhi vibaya sababu tu ya ubunge lkn kwa uzuzu wa wabunge wa ccm wakampitisha kuwa spikaspeaker kama hawa ndo huleta machafuko nchini, huwezi toa amri kwa police kwenda kumkamata mtu aende kuhojiwa ya kamati ya maadili, watu kama kina speaker hawajui maana ya idara/wizara ya mambo ya ndani na jinsi inavyofanya kazi, huyu ni kweli speaker ama ni gumashi lingine limejificha kwenye kichaka cha uspeaker, maamuzi ya hovyo kabisa.