Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Jana wakati nasikiliza kipindi cha michezo radio one nilisikitishwa sana na kauli ya kiongozi wa wazee Akilimali wa yanga ambao watanzania tulitegemea wangetumi busara zao kufanya maamuzi kwa maslahi ya Club matokeo yake ni kinyume kabisa kumbe wao wamefanya hivyo ili kumkomoa Mchunga. Jana Akilimali alisema wazi kuwa wamefanya hivyo kumkomoa Mchunga.
Swali ni je kweli kama hiyo ndio sababu tunategemea soka la Tanzania kukua kwa hali hii ya maamuzi tena anasema ndio vizuri kama yanga wasipocheza? Ziko wapi busara zao kama wazee?
Swali ni je kweli kama hiyo ndio sababu tunategemea soka la Tanzania kukua kwa hali hii ya maamuzi tena anasema ndio vizuri kama yanga wasipocheza? Ziko wapi busara zao kama wazee?