Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
<br />Clouds Fm tayari wameshatengeneza wimbo wa Jairo <a href="http://www.cloudsfm.co" target="_blank">Clouds FM</a>
<br />
so what?
Acha kuwapotezea watu muelekeo.
<br />Clouds Fm tayari wameshatengeneza wimbo wa Jairo <a href="http://www.cloudsfm.co" target="_blank">Clouds FM</a>
Aliposema 'hukohuko' alimaanisha kwenye mitandao ya kijamii. Watu wenye akili tuligundua mapema sana anachomaanisha.
<br />Aliposema 'hukohuko' alimaanisha kwenye mitandao ya kijamii. Watu wenye akili tuligundua mapema sana anachomaanisha.
Hii kauli ya Mh. Naibu spika imebeba ujumbe mzito sana![/QUOTE ]
Huyu ndugai ni kigeugeu sana!! kama utakumbuka kweli mdahalo kati yake na Tundu Lissu mwezi uliopita, akijibu moja ya maswali ya washiriki wa mdahalo alisema ' Kazi ya bunge ni kuisaidia serkali iliyoko madarakani iweze kutawala nchi...' sasa unajiuliza hivi hajui kweli kwamba kazi ya muhimili wa bunge si kuisaidia serikali bali kuisimamia?? Sasa anashangaa nini serikali ilikikejeli bunge wakati ni wao walioilea (mtoto umleavyo...). Pia sijawahi kuona serikali yenye vituko kama hii: Kwanza swala zito kama lile lilihitaji tume huru na makini, wao wakampa hilo gunia zito la misumari CAG alibebe mwenyewe (unategemea nn?); pili baada ya kupata ripoti wangepima effects zake kwa kauli ya Pinda (kimsingi alishamhukumu ila alikuwa anangojea kibali cha raisi!!); tatu maamuzi hayo yangeathiri vipi bunge kwani suala hilo lilianzia bungeni. Mimi nilitarajia wangepeleka matokeo ya uchunguzi bungeni badala yake huyu Luhanjo akakurupuka!!. Huu utakuwa mtihani mwingine mkumu sana kwa JK; tusikilize yatakayojiri.
Hii kauli ya Mh. Naibu spika imebeba ujumbe mzito sana!
<br />
<br />
Macho yako makavu sana kiasi kwamba unashindwa hata kusoma alama za nyakati. Kwa taarifa yako harakati na wabunge wa CCM ni mkakati madhubuti wa kuwapoteza wapinzani ili wasisikike tena. Ndiyo maana hoja nyingi siku hizi zinaibuliwa na wabunge wa CCM halafu CHADEMA wanabaki kupiga mayowe kwa nyuma. Tafakari bwana mdogo.
<br />Aliposema 'hukohuko' alimaanisha kwenye mitandao ya kijamii. Watu wenye akili tuligundua mapema sana anachomaanisha.
<br />Kwani Jairo/Luhanjo/CAG etc, wameonesha dharau gani kwa waziri mkuu/bunge kupitia mitandao ya kijamii?
Kwani Jairo/Luhanjo/CAG etc, wameonesha dharau gani kwa waziri mkuu/bunge kupitia mitandao ya kijamii?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Macho yako makavu sana kiasi kwamba unashindwa hata kusoma alama za nyakati. Kwa taarifa yako harakati na wabunge wa CCM ni mkakati madhubuti wa kuwapoteza wapinzani ili wasisikike tena. Ndiyo maana hoja nyingi siku hizi zinaibuliwa na wabunge wa CCM halafu CHADEMA wanabaki kupiga mayowe kwa nyuma. Tafakari bwana mdogo.