Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Nimeangalia TUONGEE ASUBUHI ktk STAR TV leo hii kuna Clip ya jana wameirudia ...Jamani ADAM KIGHOMA MALIMA anajua kuvuta MIDOMOOOOO...
<br />Hii kauli ya Mh. Naibu spika imebeba ujumbe mzito sana!
Aliposema 'hukohuko' alimaanisha kwenye mitandao ya kijamii. Watu wenye akili tuligundua mapema sana anachomaanisha.
<br />really? mwenye akili embu tejuze Luhanjo yuko mtandao upi wa kijamii?
Hivi unaposema watu wenye akili unakuwa unataka umaanishe nini?? Maana hata punguani ana akili za kiwango chake.Aliposema 'hukohuko' alimaanisha kwenye mitandao ya kijamii. Watu wenye akili tuligundua mapema sana anachomaanisha.
<br />
<br />
macho yako makavu sana kiasi kwamba unashindwa hata kusoma alama za nyakati. Kwa taarifa yako harakati na wabunge wa ccm ni mkakati madhubuti wa kuwapoteza wapinzani ili wasisikike tena. Ndiyo maana hoja nyingi siku hizi zinaibuliwa na wabunge wa ccm halafu chadema wanabaki kupiga mayowe kwa nyuma. Tafakari bwana mdogo.
<br /> <br / Kwa lipi? au na we ndo walewale, 2cbabaishane bana ebo!iyo kaul itamkosti.
Hii kauli ya Mh. Naibu spika imebeba ujumbe mzito sana!
iyo kaul itamkosti.
<br />
<br />
Macho yako makavu sana kiasi kwamba unashindwa hata kusoma alama za nyakati. Kwa taarifa yako harakati na wabunge wa CCM ni mkakati madhubuti wa kuwapoteza wapinzani ili wasisikike tena. Ndiyo maana hoja nyingi siku hizi zinaibuliwa na wabunge wa CCM halafu CHADEMA wanabaki kupiga mayowe kwa nyuma. Tafakari bwana mdogo.