Kama CHADEMA ina wabunge vilaza kama hawa? Hawafai nchi!

You are right, but I'm afraid that in our bunge with CCM majority no body cares when genuine argumentations are made. We seen several of the opposition MPs with good arguments but they were let down by their own people. So the issue is not how she presents her aruguments but how the majority CCM will pass the bill.

Will the Speak say " wanaounga mkono hoja waseme ndiyooooo" or what? I'm doubting our Bunge in passing very crucial Bills.

Uko sawa!
 
Watoto wa mafisadi mna kazi ngumu ya "kutafuta chawa kwenye vazi la malkia."

Hahahaaa ...yaani hiyo ndio dosari ya CHADEMA iliyokuchukua mwaka mzima wa uhai wa Bunge hili kuipata!

Sikiliza; binafsi sitarajii wabunge wote wa CHADEMA wafanane kiumakini, ila ukweli unasimama kuwa sikuzote CCM imeongoza vyama vyote (hadi UDP) kwa vingi wa hao unaowaita 'vilaza' ndani ya Bunge.
 
Tatizo hapa siyo sheria ya manunuzi, suala hapa ni kwamba jamaa wanatengeneza mazingira ya kuja kununua mitambo iliyoingizwa nchini kipindi hiki kwa kigezo cha umeme wa dharula. Ukweli ni kwamba mitambo hiyo inauwezo wa kufanyakazi kwa zaidi ya miaka 10 au zaidi kama inapata service nzuri.

Serikali imewapa wawekezai hao wa umeme wa dharula muda usiozidi miaka miwili kwa malipo ambayo ndani ya muda huo watakuwa wamerejesha gharama zao za manunuzi ya mitambo, kuisafirisha mpaka hapa na faida juu.

Kwa kuwa hakuna nchi nyingine inayoweza kuliwa kama hii yetu kupitia miradi kama hii ya umeme hivyo jamaa wanaona sio sawa kuiacha mitambo hiyo iozee hapo baada ya mikataba kuisha so wanafikiria jinsi ya kuiuza na mnunuzi mzuri hapa ni serikali pekee ambayo itawafanya wapate pesa zaidi.

Jamaa hawawezi kuitaja mitambo hii katika hili watazunguka mibuyu wee lakini focus yao kubwa ni hapo ndio maana wamewatuma wanahisa wenzao (wanasiasa) wakajaribu kulishawishi bunge lipitishe muswada huo ili miaka miwili ijayo wagawane mabilioni na tayari kwa kuelekea uchaguzi mwingine!

Tutakwepaje hayo?mana wameupitisha teyar kwa muonekano wa mjadala.
 
Mimi nafikiri hii ni changamoto kwa vyama vyote kuweka wagombea wenye uwezo wa kujadili na kupambanua issues, sio vinginevyo.
Tatizo ni la vyama vyote sio cdm pwke yake.
 
Tutakwepaje hayo?mana wameupitisha teyar kwa muonekano wa mjadala.
Ni rahisi tu, wakiupitisha tunaandamana lakini pia tunahahakikisha hatuwachagui wale wote ambao wataonekana kuunga mkono hoja za kiporaji kama hii.
 
Mkuu niliona post yako moja kwenye jukwaa la afya unaulizia dawa ya kuumwa ka-swe-nde....ndii madhara yake makubwa kiasi hiki?
 
Tatizo hapa siyo sheria ya manunuzi, suala hapa ni kwamba jamaa wanatengeneza mazingira ya kuja kununua mitambo iliyoingizwa nchini kipindi hiki kwa kigezo cha umeme wa dharula. Ukweli ni kwamba mitambo hiyo inauwezo wa kufanyakazi kwa zaidi ya miaka 10 au zaidi kama inapata service nzuri.

Serikali imewapa wawekezai hao wa umeme wa dharula muda usiozidi miaka miwili kwa malipo ambayo ndani ya muda huo watakuwa wamerejesha gharama zao za manunuzi ya mitambo, kuisafirisha mpaka hapa na faida juu.

Kwa kuwa hakuna nchi nyingine inayoweza kuliwa kama hii yetu kupitia miradi kama hii ya umeme hivyo jamaa wanaona sio sawa kuiacha mitambo hiyo iozee hapo baada ya mikataba kuisha so wanafikiria jinsi ya kuiuza na mnunuzi mzuri hapa ni serikali pekee ambayo itawafanya wapate pesa zaidi.

Jamaa hawawezi kuitaja mitambo hii katika hili watazunguka mibuyu wee lakini focus yao kubwa ni hapo ndio maana wamewatuma wanahisa wenzao (wanasiasa) wakajaribu kulishawishi bunge lipitishe muswada huo ili miaka miwili ijayo wagawane mabilioni na tayari kwa kuelekea uchaguzi mwingine!!

Ninachokiona hapa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2015. Mtandao wa Lowassa unatengeneza mazingira ya kupata fedha za kutosha zitakazomfanya aingie Ikulu. Dili za ununuaji wa mitambo chakavu hasa ya umeme itawanufaisha sana kina Lowasa. Kwa wale watakaokuwa kambi tofauti wameliwa.

Kuna haja ya kujipanga kimkakati kuhakikisha mafisadi hawaingii ikulu, tukishindwa nchi imekwisha.
 
Ama kweli ukiwa mwana kijani .................... ni kilaza kwelikweli
Jaribu kufikirisha mawazo yako na siyo kuendekeza ushabiki usio na tija.

Au unataka kujifanya hujaona hao vilaza waliuchapa?.
 
Ninachokiona hapa ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2015. Mtandao wa Lowassa unatengeneza mazingira ya kupata fedha za kutosha zitakazomfanya aingie Ikulu. Dili za ununuaji wa mitambo chakavu hasa ya umeme itawanufaisha sana kina Lowasa. Kwa wale watakaokuwa kambi tofauti wameliwa.

Kuna haja ya kujipanga kimkakati kuhakikisha mafisadi hawaingii ikulu, tukishindwa nchi imekwisha.
Kasi na mbinu za huyu jamaa siwezi hata kuzizungumzia! He is too intelligent on dirty politics and he doesnt just know but an expert on how to play that game!
 
Basi mwenyekiti wetu Mh.Kikwete ndio anaakili nyingi na hapa ni wakati wakubembea kwenye mabembea ya Jamaika
300028_237738752937036_100001027396245_774103_4178307_n.jpg

WE baki ukiponda kuhusu bembea wakati wenzako Wajamaika waki-make ankara kupitia hiyo kitu!!!!! Hiyo kwangu niliiona ni kama changamoto kwa wadau wa utalii (particluraly, wizara ya nishati na utalii/tanapa) kuangaliatract ni namna gani wanaweza ku-add value kwenye vivutio vyetu vya utalii badala ya kutegemea kwenye traditional attractions.
 
Watanzania tuamke, tusipotoshwe na watu wenye nia mbaya na nchi yetu, mimi yule dada Esther Matiko nimemshudia akichangia na ameongea vitu vya msingi sana na kusoma vipengele vyenye mapungufu na kupendekeza nini kifanyike, inaonekana mtoa mada labda lugha ya kidhungu inamchenga kidogo kama mbunge wao shekifa ambaye hata kupronounce neno procurement amnashindwa.

Mhe Matiko ameenda mbali kwa kusema kuwa accounting officer wanapewa mamlaka nyingi mno kama kuteuwa tenda board, kudecide ni zabuni ipi ya udharura, kuappoint evaluation tean, kuteua negotiation team, kuinvestigate complaints by suppliier, contractor na consultant, na kupendekeza kipengele baadhi kwenye clause ya 36 viondolewe na kwenye schedule of ammendment iloletwa na waziri mukulo kafanyia marekebisho vipengele vitatu.

Vile vile huyu dada alisema kwa historia ilivyo tanzania watendaji wa umma hawana intergrity (uadilifu) hivyo kupitisha sheria ya manunuzi ni kuwapa mwanya wa ulaji hao wasiowaadilifu wao wataprocure vitu ambavyo havina value for money.

Vile vile akasema pia kwenye kununua used lazima wafanye cost benefit analysis kati ya kununua kipya na chazamani, kwani kipya hata kama ni ghari lifespan yake ni ndefu na inagharama ndogo za maintanance na risck ndogo, wakati used kina gharama kubwa za kumaintain, uhai wake ni mdogo na risk ni kubwa.

Pia akasema huu udharura unaozungumziwa ni wa mungu kwamaana ya majanga yasio tarajiwa au ni kutokana na poor planning za watendaji, yaani uzembe wa kupanga?na akamalizia kwa kusema kwa kuwa clause 66 inazungumzia manununuzi ya used kwa matumizi ya kawaida na kwa udharura pia, sasa kwanini wanunue used kwa kawaida wakati hiyo inatakiwa ipangwe ahead na kubudgetiwa?

Hebu mwenye access ya hansard ya mchango wa huyu dada waiweke hapa au mimi nitajitahidi niulete jumatatu wanajamvi ili tujadili kitu na kutenda haki.

Vilevile huyu dada esther matiko ndio ameomba kutoa tarifa juu ya upotoshaji wa jenister mhagama, kwa kuongelea kipengele 66 na tumshuhudia simbachawene, jenister na kilaza wao werema wakiendelea kuwadanganya umma.Jenister anaongela rada wakati clause 66 inazungumzia used ya ndege,meli, train behewa na injini.

Mtoa hoja ukulaza upo wapi hapo? au unabifu binafsi?
 
Amesimama kuzungumza kuchangia hoja na kuanza kunukuu kila baada ya dakika na pasipo kuonyesha anasimamia hoja gani. Naomba waliomtazama wachangie na wengine tuachieni mjadala na hoja hii haina itikadi hapa.

Wewe ni mwogo mbona mie nimemuona na nimeelewa alichochangia?
 
Muda Mwingine Tuache Ushabiki Wa Kisiasa, So CDM Wapo Sawa Kwa Kila Kitu,.Mi Mwenyewe Ni Mwanachama Wa CDM,.Nimemcheki Ila Nilisikia Aibu Ya Kuendelea Kumuangalia, Hamna La Maana Alilochangia Zaidi Ya Kujiumauma!? Na Hii Si Mara Ya Kwanza Kuonge Pumba. Nadhani ndo Matatizo Ya Viti Maalumu, Af Ndo Alikuwa Ass. lecturer UDSM, Kwa Mtindo Huo Sijui Darasani Halikuwa Ana Lecture Nini!?

Mkuu, aina yako ya uandishi isiyojali mahala muafaka pa kuweka herufi kubwa na ndogo na hilo neno nililoliwekea rangi nyekundu, vimenifanya nishindwe kuchangia mada na badala yake nilazimike kukuuliza. Je, una kiwango gani cha elimu kumshinda huyo Mhe. Mbunge?
 
Muda Mwingine Tuache Ushabiki Wa Kisiasa, So CDM Wapo Sawa Kwa Kila Kitu,.Mi Mwenyewe Ni Mwanachama Wa CDM,.Nimemcheki Ila Nilisikia Aibu Ya Kuendelea Kumuangalia, Hamna La Maana Alilochangia Zaidi Ya Kujiumauma!? Na Hii Si Mara Ya Kwanza Kuonge Pumba. Nadhani ndo Matatizo Ya Viti Maalumu, Af Ndo Alikuwa Ass. lecturer UDSM, Kwa Mtindo Huo Sijui Darasani Halikuwa Ana Lecture Nini!?

Mbona uandishi wako wenyewe unaonesha si wa kumuelewa assistant lecturer, je tatizo ni alichoongea au uwezo wenu(mlioshindwa muelewa) wa kuelewa anachoongea? Sio kila mtu anaweza muelewa lecturer!
 
cdm kuweni waw azi mimi cna chama lakini, yakisemwa mambo ya kweli kuhusu cdm mnapinga watanzania cio wajinga kiasi hicho wameona, kuweni wazalendo kwa masilahi ya watanzania wote.
 
Back
Top Bottom