Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Tatizo la Chadema hawataki kukosolewa. Wanajihisi wapo sawa kwa kila jambo.
Sijaamuona wakati anachangia, ila kama kweli ametema pumba kwanini asiambiwe. Itamsaidia next time kuwa makini zaidi.
Wabunge wa Chadema sio miungu, nao pia wana mapungufu yao. Lazma waambiwe.
Sijaamuona wakati anachangia, ila kama kweli ametema pumba kwanini asiambiwe. Itamsaidia next time kuwa makini zaidi.
Wabunge wa Chadema sio miungu, nao pia wana mapungufu yao. Lazma waambiwe.