GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,178
Tena GENTAMYCINE nampongeza sana huyo Afisa Elimu kwa hicho alichokifanya, kwani kama anaona aliye juu yake anaiba vya masikini bila ya huruma kwanini nae asijimegee kipande chake cha keki Tanzania mapema?
Hakuna kitu nachukia kama Unafiki na kujifanya ni Mbwa mkali unayebweka kutisha watu wakati mbele ya Chatu wakubwa Marekani na UAE unajipeleka mwenyewe ukawe kitoweo chao tukuka kwa Udhaifu wako.
Hakuna kitu nachukia kama Unafiki na kujifanya ni Mbwa mkali unayebweka kutisha watu wakati mbele ya Chatu wakubwa Marekani na UAE unajipeleka mwenyewe ukawe kitoweo chao tukuka kwa Udhaifu wako.