bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
hivi huyu jk anajisikiaje huo ushindi wa kishindo anaoupata ni wa kura za ma mbumbumbu (vijijini kule, maeneo ya watu wasiojua issues, un educated hasa kule pwani ), au yeye kwake sawa tu maadam ni ushindi! kwa nchi inavyozidi kupanuka ktk nyanja za mawasiliano na elimu kupanuka zaidi kule pwani na vijijini watu wasikojua kusoma wala kuandika achilia mbali kufatilia issues kwenye vyombo vya habari maana hata umeme hamna future ya ccm kiujumla si inazidi kuwa ndogo?