LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
Ukisoma bila kuwa biased kiasi hicho utamwelewa kuwa analitetea taifa kama Mchungaji.Come on...!!! don't get carried away by this money seeker Kakobe...!!!
Kakobe ni Kipenzi cha Dr. Slaa..is known...so get the facts of his political interest, ukijua hilo hupati shida...
Utakuwa kichwa boga kubwa ukiwa mtu wa kusikiliza nakumeza BILA KUWA ANALYST MZURI WA HAWA WATU WA DUNIA HII....Huyu ni mhuni tu kakobe...
Katika mahubiri yake anasema ukweli kwa kiasi kikubwa...but himself haishi katika kweli...ni msemaji wa ukweli by 75% but he does not live on facts...!!!
Hapo kamsema EL kidogo tu, ila sbb mtoa mada nae ana Team lake la kikwere au kimaembe huko, kataka kuleta upuuzi tu, hapo ktk mahubiri kamgusa JK..etc...
Pia wananchi wanaokwenda kwa EL wanatekeleza
maagizo USHAURI WA MWENYEKITI WA CCM ALIO UTOA SONGEA....sio ushauri au maneno ya Kakobe..!!!
So shut up, and let the tough EL get going....!!!
Sikia, tafakari ukweli halisi, chukua hatua, b4 hujaandika urojo rojo..!!!
Aidha uelewa wa watu hutofautiana kutokana na ideologies zao, backgrounds, levels of education, etc.
Kwa hiyo usitegemee wote tutakuwa na mawazo kama yako juu ya tamko la Kakobe.
Uaweza kueleweka hata bila kuwatukana watu mkuu.
Kwa uelewa wangu, the man is right.