- Thread starter
- #41
Kumbe sisi wenyewe ndio tunamtia ujinga, Rais wetu! Yaani, wewe ulimchagua afanye ninil; awepo ikulu kwa kazi gani?
Je wafahamu kwamba Waziri yeyote anaweza kutamka jambo na Rais akatengua.... Lakini Rais akizungumza ni FINAL...
Rais ndiye mwenye mamlaka FINAL... kwa kauli zote za Serikali.
Tunahitaji kauli FINAL..
Je wafahamu kwamba Waziri yeyote anaweza kutamka jambo na Rais akatengua.... Lakini Rais akizungumza ni FINAL...
Rais ndiye mwenye mamlaka FINAL... kwa kauli zote za Serikali.
Tunahitaji kauli FINAL..