Kakobe akemea ushoga - Uingereza watoa agizo sheria itengenezwe

werawera

Senior Member
Oct 5, 2010
138
40
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Askofu Zacchary Kakobe; leo katika misa na ibada ametamka kwa nguvu na kukemea juu ya agizo la Nchi ya Uingereza juu ya Sheria ya kukubalika na kutambulika kwa MASHOGA katika nchi ya Tanzania.
Vivyo hivyo Askofu huyu, ametoa rai kwa wanaharakati Tanzania kuandaa maandamano ya kupinga kutengenezwa sheria hiyo. Amesema wakati mzuri wa kufanya hivyo ni kwenye ziara ya Prince Charles na Mkewe Camilla. Vilevile amesema kwa wanaharakati kwamba wakiandaa maandamano hayo wampe taarifa na atakuwa kinara wa maandamano hayo.
Pia amemwambia Rais Kikwete kwamba naye atoe tamko kuhusu hayo.

Nawasilisha....
 
yaani kila m2 anapinga hili. kama huku kijijini ni vichekesho tu. Wakulima wamepata habari iliyochakachuliwa eti lazima tunanihiiane ndo tupewe msaada.

kila unapopit storry ndo hiyo
 
Lazima tusimame kidete kupinga huu ujinga Si sote kwa pamoja Waislamu kwa Wakristo. Kwani vitabu vyote vya dini vinakemea uhuni huu
 
Kakobe, kama ulivyo mroga kwa maombi yako Ngeleja, naomba uuroge pia utawala wa Uingereza uache kutusakama na ushoga wake.
Pia Kakobe naomba lile JESHI lako takatifu lililopigania umeme wa tanesco usipite kanisani kwako lije kwenye maandamano ya kupinga kuundwa kwa mswada wa sheria ya Ushoga
 
Tupo pamoja baba askofu lakini tukumbuke kwa nguvu zetu atuwezi mpaka tuokoke tuweze kupambana na hii roho ya kishetani.
Na ni ujumbe kwa kikwete kuombaomba uko ndiyo mtokeo yake ayo
 
katika vitu ambavyo Kikwete hawezi ni kushindwa kutoa matamko yenye maamuzi magumu. Amuige rais wa GHANA kasema yeye hawezi kufanya ujinga huo. Mbona wao EU ulaya hawaoi wake watatu watatu.... wanaponda.... cha maana sisi hatugeuzani na atakayekamatwa anageuza au anageuzwa TUWANYONGE tu.
 
kauli ya askofu kakobe imenifurahisha sana hasa kipengere cha kumyaka rais jakaya kikwete atoe tamko juu ya kupinga ushoga.
Kitendo cha kikwete kunyamaz kimya huku akiandaa mapokezi makubwa ya prince charles ni matusi makubwa kwa watanzania.

Wakati wa rais nyerere , kulikuwa na mkukutano wa jumuiya ya madola kama huo lakini malkia wa uingereza alikuwa hataki kushikana mikono na marais wa afrika badala yake alikuwa anavaa gloves. Sasa ilipofika zamu ya nyerere , yeye alikataa kumupa mkono bali alimpa fimbo!!! Na hatua hiyo ilileta mtafaruku mkubwa , siku hiyoyo nyerere alikwenda chuo kikuu endbarg ku kupinga unyanyasaji wa marais wa afrika.

Rais jakaya mrisho kikwete alipaswa kupinga suala la ushoga kulekule mbele ya waziri kameron na sio kumwachia membe anaweweseka hapa.

Kitendo cha kikwete kunyamaza kimya kinatupa kujua kuwa tuhuma zake kuwa ni shoga ni za kweli!!!
 
Wewe ndugu,mwandishi karipoti taarifa, kiukweli kakobe hana misa nasi tumekuelewa kwa hilo.Lakini hoja ya utofauti wa misa na ibada nafikiri ufungue wall nyingine ili wataalamu waweze kujadili.Kwakuiintroduce hoja hiyo tutakuwa tunapoteza ujumbe.Mimi binafsi kama kutaitishwa maandamano ntashiriki na nikimwona huyo kakobe yupo ntafurahi sana kwani tunataka kufikisha ujumbe kwamba sisi hatutoweza kuendeshwa kiivyo kama ni misaada toka kwao basi.
LAKINI USHOGA WA ENZI ZA SODOMA NA GOMORA HATUUTAKI UISHIE HUKO HUKO KWAO.
 
Kakobe, kama ulivyo mroga kwa maombi yako Ngeleja, naomba uuroge pia utawala wa Uingereza uache kutusakama na ushoga wake.
Pia Kakobe naomba lile JESHI lako takatifu lililopigania umeme wa tanesco usipite kanisani kwako lije kwenye maandamano ya kupinga kuundwa kwa mswada wa sheria ya Ushoga

Ninasikia taarifa za jujuu kuwa, zile nguzo zilizopitisha nyaya pale kwa Kakobe mpaka leo haziweza kupitisha umeme, je hizi ni habari za kweli?
Mwenye taarifa kamili tafadhali!
 
yaani kila m2 anapinga hili. kama huku kijijini ni vichekesho tu. Wakulima wamepata habari iliyochakachuliwa eti lazima tunanihiiane ndo tupewe msaada.

kila unapopit storry ndo hiyo
ahhaaaaaaaaaaa kumbe na kwenu loh! mi kwetu wameckia kua kila familiya lazima imtoe mtoto mmoja wa kuime awe shoga ndio tupewe misaada basi ni tafrani kijiji kizima
 
Jamaa kaomba wazungu mwisho wamemwambia ashike ukuta macho yanamtoka na bado
 
Ninasikia taarifa za jujuu kuwa, zile nguzo zilizopitisha nyaya pale kwa Kakobe mpaka leo haziweza kupitisha umeme, je hizi ni habari za kwel i?
Mwenye taarifa kamili tafadhali!

habari za mtaani tu .... umeme upo.... ukifika mwenge uliza umeme unafika haufiki
 
Back
Top Bottom