Kakakuona ameonekana bunju

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Jana tarehe 29/10/2012 Mnyama KAKAKUONA ameonekana maeneo BUNJU katika Wilaya ya Kinondoni. Wananchi walimwekea NAFAKA, SILAHA ZA JADI, MAJI na vitu vingine ili aweze kutabiri yapi yatakayo jiri katika nchi yetu katika siku za usoni. Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.

Binafsi sina la kusema, nawaachia wenzangu kwa hekima na busara mlizopewa na Mwenyezi mungu mtoe michango yenu kuhusu hili.

Nawasilisha.

Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.
 
hivi kwa akili ndogo tuu ya darasa la nne TUNAHITAJI KAKA KUONA AJE ATUCHAGULIE PANGA BADALA YA AMANI???...MBONA INAJULIKANA TUNAKOE-LEKEA NA SI MUDA MREFU TUNAFIKA HUKO....NA YOTE HAYA NI KWA SABABU ZOOOTE ALIZOTOA MH. JOHN MNYIKA...tumefika hapa kwa sababu ya Udhaifu.........
 
Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.

Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.

Sio kwa bahati mbaya, jiandae kulinda makanisa yenu, hayo majambia hayo.
 
hivi kwa akili ndogo tuu ya darasa la nne TUNAHITAJI KAKA KUONA AJE ATUCHAGULIE PANGA BADALA YA AMANI???...MBONA INAJULIKANA TUNAKOE-LEKEA NA SI MUDA MREFU TUNAFIKA HUKO....NA YOTE HAYA NI KWA SABABU ZOOOTE ALIZOTOA MH. JOHN MNYIKA...tumefika hapa kwa sababu ya Udhaifu.........
Nilianza kwa kuwaomba mtumie busara mlizopewa na Mwenyezi Mungu katika kuchangia, naona wewe hata Mungu wako humuogopi kabisaaa!! Ee Mungu umsamehe kwa vile hajui atendalo.
 
kuna mtu alishawahi kusema humu kuwa mtanzania nayo ni moja ya maajabu ya dunia.. ngoja tusubiri kitakachotokea.....
 
Jana tarehe 29/10/2012 Mnyama KAKAKUONA ameonekana maeneo BUNJU katika Wilaya ya Kinondoni. Wananchi walimwekea NAFAKA, SILAHA ZA JADI, MAJI na vitu vingine ili aweze kutabiri yapi yatakayo jiri katika nchi yetu katika siku za usoni. Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.

Binafsi sina la kusema, nawaachia wenzangu kwa hekima na busara mlizopewa na Mwenyezi mungu mtoe michango yenu kuhusu hili.

Nawasilisha.

Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.
Hawakumwekea JAMBIA au MIKANDA YA MABOMU??
 
Nilianza kwa kuwaomba mtumie busara mlizopewa na Mwenyezi Mungu katika kuchangia, naona wewe hata Mungu wako humuogopi kabisaaa!! Ee Mungu umsamehe kwa vile hajui atendalo.

Unapoweka jambo ili lijadiliwe usitarajie mtazamo wa aina moja tu, tena wa kukupendeza wewe, si ajabu wewe ndo ukawa hujui utendalo!
 
Tatizo la pombe za viroba ndio hili.
Kakakuona kapigwa viroba ndipo kapewa nafasi ya kutabiri.
Sijui mlikuwa mnategemea nini
Jana tarehe 29/10/2012 Mnyama KAKAKUONA ameonekana maeneo BUNJU katika Wilaya ya Kinondoni. Wananchi walimwekea NAFAKA, SILAHA ZA JADI, MAJI na vitu vingine ili aweze kutabiri yapi yatakayo jiri katika nchi yetu katika siku za usoni. Ni bahati mbaya sana na jambo la kusikitisha kuwa mnyama huyo alipita vitu vyote ambavyo kama angevibusu pengine tungechekelea na badala yake alikwenda moja kwa moja na kuegemea silaha ya jadi aina ya PANGA.

Binafsi sina la kusema, nawaachia wenzangu kwa hekima na busara mlizopewa na Mwenyezi mungu mtoe michango yenu kuhusu hili.

Nawasilisha.

Source:Kipindi cha JAHAZI, Redio CLOUDS.
 
Wangemuwekea binti mrembo, Panga angeTUPA KULEE..!
Sijuw ndo kukata tamaa na mwelekeo wa amani,dah !
 
Hapa Makanisa yameingiaje mkuu?

Panga = Jambia. Jiulize linatumika kwa kazi gani, na siku za hivi karibuni kama sio busara za Serikali na wale wenye makanisa kungetokea nini? Kama wale wenye makanisa wangejitokeza kupinga dhamira ya kuchomwa makanisa yao kungetokea vita .........ukumbuke kuwa majambia katika baadhi ya imani yanatumika kukata..............wakati wa........Sasa. Akili za kuambiwa changanya na zako. Kama unaogopa utabiri wa Kakakuona, linda amani.
 
kwa hiyo 'walimtoa lock' kwanza ndo wakamwekea vitu atabiri
Tena afadhali wangempa kitu cha konyagi, walimpa ile KIROBA ORIGINAL KUTOKA ARUSHA
255596_406339989410280_66484212_n.jpg
 
Hivi hata wathungu hutegemea kaka muona kutabiri future yao, au ni huku kwetu uswahilini tu? huyu mnyama kama ni kweli basi ana kipaji cha hali ya juu!
 
Watanzania tusiogope - NI KWELI NIA YA SHETANI NI DAMU IMWAGIKE - WATU WACHINJANE NA AMANI ITOWEKE

LAKINI HUYO NI SHETANI TU .................. WATU WANAFUNGA NA KUOMBA JAMANI ..........MUNGU ANAJIBU MAOMBI ...

ATATUTETEA NAAMINI - SHETANI AMESHINDWA ....... HAKUTATOKEA VITA ..... MAKANISA HAYATACHOMWA TENA... KWANI TUMEAMUA KUSIMAMA KATIKA ZAMU YETU YA KUOMBA.

HIVYO WAOMBAJI ...OMBENI ... KAMA ULIKUWA UNAOMBA NUSU SAA - OMBA SAA NZIMA
KAMA ULIKUWA HUJUI KUFUNGA HUU NDIO WAKATI ...... :drum::drum::drum:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom