Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

Maty

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
2,167
725
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Naona umeandika out of emotion inawezekana ulikutana na mario huko akawa ana do the nidful kwako. Swali kwako unapoitwa kupewa ofa kwanini uende mikono mitupu bila kutembea na hela mtu anapokuita kukupa ofa unajua ana kaisi gani mfukoni? Je ukiitwa ukaishia kupewa ofa ya soda? Jinsi nyie wanawake mnavyotuomba vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi hiyo tabia yenu inatukera kama inavyokukera wewe kuombwa vocha na mwanaume ila i guess tabia hii ya kuomba vocha wanawake ndio mmekubuhu.
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Hii Topic ngoja nikajipumzishe kidogo nikirudi nitakuwa na la kusema ...
Mabinamu kuna hoja hapa ya kuchangia:confused2:
 
Kwa maisha ya ki-magharibi nikikutoa out haina maana nitalipa expense zote. kila mtu ana-clear alichokula. Na hii ni kwa sababu kila mtu anafanya kazi kwa hy anakipato.
 
Dadangu mambo yanabadilika hivi sasa. Suala la kutoa ofa si la mwanaume tu. Nyie wenyewe kila siku mnalia na 50 kwa 50. Sasa ukiambiwa tu ulipie vinywaji unapiga kelele. Je ukiambiawa ulipie guest na bado jamaa anakutafuna utafanyaje. Unatakiwa ubadilike lipia ofa kwa furaha
 
Mpwa naona alikutana na mtu aliye do ze nidful kwake vilivyo

Hahahaha unakuta demu anakuja na nauli tu sasa kama upo mbali ni balaa hapo hapo yupo na wapambe wawili amekuja nao ambao kwa vyovyote vile ni mzigo kwako dah na wewe hapo ulikuwa unapiga hesabu mkisha kunywa uende ukamege sasa kaja na wapambe wawili sijui pesa ya mjengo kama itatosha.
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Pole sana.
Usawa mnaoulilia siku zote ni pamoja na kulipa bili za namna hiyo. Ukikua utaacha tu, ni vijimambo vya muda.
 
Hahahaha unakuta demu anakuja na nauli tu sasa kama upo mbali ni balaa hapo hapo yupo na wapambe wawili amekuja nao ambao kwa vyovyote vile ni mzigo kwako dah na wewe hapo ulikuwa unapiga hesabu mkisha kunywa uende ukamege sasa kaja na wapambe wawili sijui pesa ya mjengo kama itatosha.

Umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa anamfukuzia demu mmoja siku moja akamuita huyo demu sehemu moja sasa si unajua dada zetu hawa walivyo wakiitwa na wao wanabeba na mashoga zao juu tena sio mmoja wanakuwa wawili au zaidi, sasa jamaa kufika pale yuko na mshikaji wake wakakaa stori zikaendelea mabinti wakaanza kuagiza BLACK LABEL, JACK DANIELS halafu ngoma per tot inauzwa buku tano jamaa kuona hivyo akamwambia mshikaji atangulie nje baada ya jamaa kutangulia nje akawaambia mabinti kuwa anapiga simu mara moja jamaa akala kona nduki unaambiwa wadada ilibidi waache simu zao pale siku ya siku jamaa akakutana na huyo mwanamke, mwanamke akamuuliza jamaa vipi umeacha usanii wako jamaa naye akamuuliza mwanamke vipi na wewe umeacha kutembea na rafiki zako ukiitwa sehemu baada ya hapo ilibidi wawe washikaji tu.
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

eeh....maty!

hapo kwneye red.....exactly thats the way to go...maadamu siku hizi hakuna kazi zinayobagua mwanamke ( and for that matter salary-wise), in fact kuna wanawake kibao wana earn kuliko wanaume..so hakuna excuse kwanini tusichangie bill,

Hapo kwenye green, hiyo heshima ya mwanamke kwa mwanaume ambaye anapendw akupewa vocha yeye, kupewa hela ya saluni yeye, mafuta ya gari yeye, kodi ya nyumba yeye apewe, ada ya mtoto wa shangazi yake yeye, ...kama kufanyiwa heshima ndo huko basi huyo heshima bora nisiipate.

halafu, hivi mnalilia usawa upi hasa ndo ninaposhindwa kuwaelewa

kama sualani kidude, si twapeana? kama utendaji kazi 'unashuka' kunako 6x6 basi hiyo ni issue nyingine lakini chonde2 msitumie vidude eti kutublackmail manake wengine hatudanganyiki

(hapa infidelity haihusu wajameni naongelewa 'ideal' situation)

Mwalimu Gaijin unaweza kusoma ila usichangie tafadhali. Asante
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.
 
bro F hii ya mwisho safi imeniburudisha kabisa na nipo hapa ofisini na wind up ili niingie Gym kidogo nikapige body pump kiasi hivi
 
Dena, katika sehem hii ya ulimwengu mimi ninapoishi opposite na uchunguzi wako wa siku hiyo, lakini nakubali haya mambo yapo but for it boils down to communication baina ya wahusika wawili na it could go either way-ni masikilizano2
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.

Kumbuka wanaume tuna mambo mengi makubwa ya kutake care kwahiyo mimi hata mke wangu au girlfriend akilipa bili naona ni poa tu kwani kuna sehemu imeandikwa wajibu wa kulipa bili ni wa mwanaume au ukilipa bili ndio unaonyesha uanaume wako well mmekuwa mkitaka usawa natumaini usawa una apply kwenye mambo kama hayo pia
 
Dadangu mambo yanabadilika hivi sasa. Suala la kutoa ofa si la mwanaume tu. Nyie wenyewe kila siku mnalia na 50 kwa 50. Sasa ukiambiwa tu ulipie vinywaji unapiga kelele. Je ukiambiawa ulipie guest na bado jamaa anakutafuna utafanyaje. Unatakiwa ubadilike lipia ofa kwa furaha

Mimi sijakataa kwamba ni kweli mambo yamebadilika, usubiri nikuite nikupe ofa na nilipie mimi sio unaniita halafu unaanza kunipa mzinga. Na hiyo 50 kwa 50 ni ya kwenye majukwaa tu katika uhusiano hamna mwanaume anabaki kuwa mwanaume tu na lazima abebe majukumu yake
 
cjaelewa unazungumzi uhusiano wa aina gani, hata akiwa mume/mchumba haruhucwi kuomba kama amekwama?
 
Kumbuka wanaume tuna mambo mengi makubwa ya kutake care kwahiyo mimi hata mke wangu au girlfriend akilipa bili naona ni poa tu kwani kuna sehemu imeandikwa wajibu wa kulipa bili ni wa mwanaume au ukilipa bili ndio unaonyesha uanaume wako well mmekuwa mkitaka usawa natumaini usawa una apply kwenye mambo kama hayo pia

hatukatai gf au mkeo kulipa bili lakini apende yeye sio mwanaume mzima unaanza kukomalia gf alipe bili wakati wewe ndio umemuita aamue yeye mwenyewe kukusaidia
 
Pole sana dada maty.....siku nyingine tafuta vidume kama sisi ambao tunaamini katika infidelity......Tuna rule yetu moja inayosema ni jukumu la infideleta kugharamia zoezi zima la infidelity kwenye first date. Usisahau second date inategemea na kilichotokea kwenye first date........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom