DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,064
- 45,695
Kama umeoa tulia tu na mkeo , maana nyumba ndogo Ni kubwa kuzidi nyumba kubwa .
Mnaweza Kupata ushauri kwa wenye nyumba ndogo.
Mnaweza Kupata ushauri kwa wenye nyumba ndogo.
Yale maandiko tu yabebe kwa kunyata.Sio kwel mbona DeepPond anaacha 25 kwa mkewe na 15 kwa mamaj
Kubwa kubwa tu na ndogo ni ndogo tu
🤣🤣Yale maandiko tu yabebe kwa kunyata.
Ila watamuMichepuko sio dili!!
Utamu ni akili ya wizi,muweke ndani utamu unaishaIla watamu
Vya wizi vitamu a. k. a vya haramu......... Japo sio kwenye matumizi ya ule mtandaoUtamu ni akili ya wizi,muweke ndani utamu unaisha
SAwa na pesa ya dili tamuVya wizi vitamu a. k. a vya haramu......... Japo sio kwenye matumizi ya ule mtandao
KabisaaSAwa na pesa ya dili tamu
Umeandika nnKweli lakini kutunza kimada ni garama zaidi kuliko kutunza mke wa ndoa
😂😂😂Mama J anaachiwa elf 5