Huwezi kusema ni uzushi ikiwa huna taarifa. sharti afutatilie ndo aje atoe tamko
Huwezi kusema ni uzushi ikiwa huna taarifa. sharti afutatilie ndo aje atoe tamko
inaonyesha akili yako mtambo, afande kasema uzushi huku bado anahitaji afuatilie, hapa maanake bado hana uhakika, kwahiyo yeye kusema uzushi ,ni lazima awe mkweli? huku bado hana majibu na taarifa sahihi?kuwa na busara! ucha umtambo.Afande si mungu anaweza kupotoka na pia kutetea masilahi yake kulinda uozo.Kwa hiyo unataka kulazimisha iwe kweli wakati afande amesema ni uzushi.
Mpwapwa aliwahi kukana hata maneno yake yaliyorekodiwa na video, akasema siyo yeye. Sembuse sisi kuitwa Panya na huyo mkunyanzi wake!
inaonyesha akili yako mtambo, afande kasema uzushi huku bado anahitaji afuatilie, hapa maanake bado hana uhakika, kwahiyo yeye kusema uzushi ,ni lazima awe mkweli? huku bado hana majibu na taarifa sahihi?kuwa na busara! ucha umtambo.Afande si mungu anaweza kupotoka na pia kutetea masilahi yake kulinda uozo.
Kwa hiyo unataka kulazimisha iwe kweli wakati afande amesema ni uzushi.
Kwa hiyo unataka kulazimisha iwe kweli wakati afande amesema ni uzushi.