na aibuNCHI IMEOZA HII KWAKWELI.
KUNA WATU HAWANA AKILI TIMAMU KABISA...
na aibuNCHI IMEOZA HII KWAKWELI.
KUNA WATU HAWANA AKILI TIMAMU KABISA...
Hamna aliewahi kufika huko kuzimu hayo mambo yakutishana tu mara moto mkali mara kuna shimo refu huwezi kutoka.Acha mambo hayo.
Kuzimu Kuna mateso yasiyoelezeka ROHO zinateseka balaa...
Nani, Peter Msechu?Kuna wasanii wamealikwa hapo kwenda kutumbuiza
Ova
Ni kweli tumeishangaza.Eti Shaka anasema tumeishangaza dunia
Kabisa kabisa! Watu wengine wananyanyasa wenzao na kuwadhalilisha kwa kujivunia nguvu na uwezo walionao.Maisha ni kama fumbo tu...
🤭🤭Ni kweli tumeishangaza.
Kwaya za nyimbo za dini ndo zipo.Kuna wasanii wamealikwa hapo kwenda kutumbuiza
Ova
U KIPOFU unaamini UNAONA.hamna aliewahi kufika huko kuzimu hayo mambo yakutishana tu mara moto mkali mara kuna shimo refu huwezi kutoka.
umeshawai fika?U KIPOFU unaamini UNAONA.
Mungu alieumba mbingu na Nchi amesema IPO KUZIMU...
Mi ndo maana sinaga akiba kabisa..So sad
Kuna wakati huoni faida ya maisha, tunahangaika na maisha ili iweje wakati pumzi ikitolewa hapo unabaki mpweke kaburini
Anza kujenga mazoea ya kuweka akiba kidokidogo, huenda kabla hujafikwa na mauti ukajikuta unaugua na ukalazimika kujiuguza n.kMi ndo maana sinaga akiba kabisa..
Dunia inatushangaa kwa Vioja vyetu.
be ukifa na ajali ya ndege unasindikizwa kwa heshima? Mara ngapi tunasikia ajali za mabasi, sikuwahi kusikia waliofariki wakisindikizwa kitaifa.Hivi ndivyo mambo yalivyo leo Novemba 7, 2022 kuhusu utaratibu wa kuaga miili 19 ya watu waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea jana Novemba 6, 2022 Mkoani Kagera....
Mi nakula Bata zote mkuuAnza kujenga mazoea ya kuweka akiba kidokidogo, huenda kabla hujafikwa na mauti ukajikuta unaugua na ukalazimika kujiuguza n.k
Muhimu usiache kutenga muda wa kufurahia maisha.
Hahahaha...............Hongera Mkuu, hata Mitume wetu wakina Ayubu na akina Suleiman walikuwa wanakula Bata enzi zao 🤪Mi nakula Bata zote mkuu
Huenda anamaanisha wameishangaza Dunia kwa jinsi vyombo vya usalama vilivyoshindwa kufanya majukumu yao.Eti Shaka anasema tumeishangaza dunia