Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,865
- 36,521
Kwa kweliHapo sasa !!
Mimi huwa nawaza hivyo hivyo!! Hii dunia usiipapatikie saaana mtu ukajiona kama vile umefika !! Hapa ni mapito tu tena hakuna muda maalum tutaondoka tu , haijalishi wewe ni nani na unamiliki vitu gani!! One way ticket inatuhusu sote. !! Tusinyanyase na tusidhalilishe wengine ! Hapa sio Home. !!
Maandiko matakatifu yanasema Mungu anaujua mwisho wetu kabla hata hatujazaliwa. Hivyo hatuna budi kutenda mema kadri tuwezavyo na tusiache kufanya Toba
Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema hapa Duniani.