Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
watanzania tjadili tushahshuje bei kama hiz watanzania wa enjoy maisha hay ndio maamabo ya maana kuongelea tushauri serikali

Bei za Makahaba/Machangudoa Dar zilizokwenye soko kwa mwaka wa fedha 2013/14
Bei za Makahaba/Machangudoa Dar zilizokwenye soko kwa mwaka wa fedha 2013-2014

08 JUL
KUTOKANA NA UCHUMI KUPANDA NA BEI ZA MAFUTA NA VINYWAJI AMBAVYO VIMEKUWA NI VITEGA UCHUM VYETU MUHIMU KUPANDA TUMEONA TUWEKE BEZI ZETU SAWA NA UCHUMI WA MTANZANIA BEI HIZI ZITATEGEMEA NA SARAFU YA TANZANIA KATIKA SOKO LA DUNIA
AHSANTEN



Bei zilizoko sokoni-
Jolly club short tm 30000 full tm-100000,
Africa sana kona baa, Sunciro,Meridian k'ndoni- short tm 10000 full tm-40000 ila wabishi sana kukupa full Tm maana kuna vichwa vingi labda umchukue saa nane usiku,
Maisha Club ndani -short time $50 full data -$100 kwa mzungu kwa mswahili sht-50000 full-100000,
Maisha club nje bei ni kama za africa sana hao ni wale wa ndani ndo matawi,
Maeda sinza elf 5 -10 shrt tm, full tm hakuna hapa kuna mpka wanaovaa kandambili,
Uwanja wa fisi bei ni kuanzia 500 hadi 5000,
Buguruni ni kuanzia 2000 hadi 10000 ,
Kwenye massage centres bei ni kati ya 50000 hadi 10000 kutegemea na quality ya mtoto,
Wa maofisini bei ni kuanzia 100000 unamchukua kwa siku nzima mtoto wa ukwee!
Temeke – hadi malaya wa 200/= wapo
Hall III – Chuo Kikuu dar es salaam (Udsm) bei 5000-15000
IFM ndo vicheche wa kumwaga – utawapata night clubs karibu zote Dar, boom likikatika ukiwa na mkoko utawakamua mpaka useme K sasa basi hawana bei maalumu ni kuanzia chips kuku, Bei 5000-20000, tatizo wapigaji wa vizinga kuanzia 200,000
Bar maids wote ni wauzaji, weka strategy nzuri utawatafuna mpaka upukutike salio lako.
NB
Serikali ianzishe utaratibu wa kuwasajili na kuwafanya walipe kodi hawa watu, tunapoteza mapato mengi sana kwa mwaka.
Kama kipato chako ni kidogo waachie wenye roho za paka utauza nyumba mkuu bure hapa Dar.
Tumia Condom ukimwi upo na unaua.
 
mbona anachelewa atu-hit ili tumng'oe nduli namba mbili....chezea tz wewe utatepeta

Duh ..kweli hisia huna km wana CCM mbona tayari kesha hit?JK na Menbe si walikataa tibu isiende Dafur ktk michuano ya kagame..Sasa askari wamepat akile jK alichkuwa akiogopa.

CCM huwa wanachelewa sana kuona vitu obvious hadi mwenyekiti aseme....
 
Duh ..kweli hisia huna km wana CCM mbona tayari kesha hit?JK na Menbe si walikataa tibu isiende Dafur ktk michuano ya kagame..Sasa askari wamepat akile jK alichkuwa akiogopa.

CCM huwa wanachelewa sana kuona vitu obvious hadi mwenyekiti aseme....

Bwana, Vipi tena na messages zako ?

Acha nikwambiye kitu, kwangu mie, kuna uyatima enye Mungu ameandika ( sikuombeyi kitu ) na kuna uyatima yakujitakia, yani unafikiri kama ndugu zetu wenye wako kule ( Darfur - Kivu) niwana CCM ?
Hivi, unafikiri wewe (kama uko Mtanzania) utapendwa na nani ? Na Mtanzania au na mgeni ?
Hivi, ushauri ya JK au Membe kuikatalia timu iende kule Darfur ni mbaya ?
Hivi, kushambulia ushauri ya serikali kusiana na mambo ya nje inafaidikia nani ?

(Tu)Tafakari mwendo yako(wetu) ya upendo ya utanzania

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Wa TZ tusiwe wagumu kuelewa ukubwa wa pua si wingi wa makamasi, ukubwa wa TZ si kigezo cha kuipiga Rwanda.
 
Aisee umewaza kama mimi! Kule Darfur kuna wanajeshi wa kagame; I am very convinced that they MAY be responsible for the tragedy of our seven troops..

Mimi nadhani ni muhimu viongozi wetu wa kijeshi wakawa makini sana huko maana huko tunakoelekea kutakuwa na madhara makubwa zaidi kama ni wao...
 
Aisee umewaza kama mimi! Kule Darfur kuna wanajeshi wa kagame; I am very convinced that they MAY be responsible for the tragedy of our seven troops..
Exactly!huyu bwana kule ana vikosi vya maana na hatari na juzi juzi Hapa kuna jamaa Kamteua kwenda huko kusimamia kikosi chake anasifika kwa .si ajabu kufanya first hit.
 
Mwalimu alisema Mtu akila nyama ya Mtu, lazima atatamani kula nyama hiyo siku zote. Kagame kwa kuwa ni mroho wa vita na kuua ovyo, anatamani angeweza kuanzisha vita dhidi ya Tanzania ataweza kuua watu wengi na kufurahia damu za watu. Ulimwengu tazama na muwe macho. Tunampenda Kkwete wetu na hakuna anayeweza kucheza na maisha ya Rais wetu. Kama yeye anajiona kuwa Kagame, maana yake Mbabe, basi ubabe wake huko huko Rwanda siyo ulimwengu wote. Hivi si alimuua Habyarimana? na je ataangamiza wangapi. Wanyarwanda mko wapi? akikosa huku atawamaliza nyinyi maana atakuwa hana hakika ya usalama wake. CHUNGA SANA
Yeye na mtutsi mwenzake museven walishirikiana kuwaua marais wawili (mmoja alikuwa wa Rwanda na mwingie wa Burundi) wote walikua Wahutu! Pia aliwauwa Wahutu wengi sana huko Rwanda na hadi sasa anaendelea kuwauwa wengine huko DRC.. nahisi anachotaka ni yeye na watutsi wenzake ndio wabakie tu Rwanda, waishi wenyewe kwa sababu kwa akili zao, mtu ambaye sio mtutsi kwao sio binadamu! ....in short, all tutsi are full of human blood in their hands!....they are violent people enjoying seeing blood shed all the time.. no wonder wamepiga sana kelele Mh Kikwete alivyotoa tu USHAURI kuwa, njia nzuri ya kumaliza migogro ni kuongea na unaowaona kama maadui zako!
 
Mimi nadhani ni muhimu viongozi wetu wa kijeshi wakawa makini sana huko maana huko tunakoelekea kutakuwa na madhara makubwa zaidi kama ni wao...
Hivi General Mwamunyange hana watu wake humu jf kweli? Ili tu kupata maoni ya Watanzania na reaction ya hao watutsi waliomo humu!
 
unaona ajabu eh.....check map vyema

Kwahiyo unafrahia watanzania waliopoteza maisha yao huko dafur sio. Hakika unaonyesha iduni wa siasa ulionao wewe nazani si mtanzania halisi wala husamini utanzania wewe ni kabaila huwezi kufurahiya mauji ya askari wetu wakitanzania walipo sudani kwa ngao ya UN jeshi ni latanzania na sio la wanasiasa sisi watanzania tunapata uchungu tunaposkia habari mbaya kamahizi iweje wewe ufurahie inaonyesha wazi hata mabom ya arusha kuna uwezekano mkawa mliyalipua wenyewe. Nahofia kuwa nchiyetu imekumbwa na balaa bora tungekuwa na chama kimoja kama democracy ndo hii
 
Tatizo Kikwete hata pata support aliyo ipata Mwalimu Nyerere kipindi cha Idd Amin... watanzania tutamwambia atangulize familia yake kwani Urais ni wa Kifamilia zaidi...
 
tatizo kikwete hata pata support aliyo ipata mwalimu nyerere kipindi cha idd amin... Watanzania tutamwambia atangulize familia yake kwani urais ni wa kifamilia zaidi...

kwa uhalifu wa kagame atapata sapoti kubwa sana, tunakinzana sisi kwa sisi lakini tunapokuwa na adui mmoja tunaungana.
 
Nahisi yaliyotokea Darfur ni kazi ya huyu Kagame.


HILI LIMAUMIZA SANA AKILI KWENYE UCHAMBUZI WA MAMBO YA KIULINZI NA USALAMA...HASA UKIZINGATIA KUWA TANZANIA TUMEKUWA TOKA MWAKA 2007 tunalinda Amani LAKINI HAKUNA KIFO.....CHA COMBAT HATA KIMOJA....UKIACHA AJALI.....MAASKARI WA TANZANIA WANA SIFA YA KUPENDWA SANA...NA PANDE ZOTE

Swali LINAKUJA ....KWANINI TUMESHAMBULIWA SASA NA SIO WAKATI MWINNGINE WOWOTE......

KARIBUNI DARFUR PAMEKUWA NA CHANGE OF GUARD AMBAPO MKUU WA PEACE KEEPING TOKA RWANDA ALIONDOLEWA NA NAFASI YAKE AKACHUKUA LT.GEN MELLA ( Mtanzania) ....Yule Mrwanda amerudi Kwao amekuwa Mkuu wa Majeshi...

Msaiddizi wake alikuwa Mtanzania lt . Gen W.Kisampa ...yeye alistaafu kwa taratibuu za jeshi....

WAKATI HAYA YAKITOKEA M23 na Rwanda Wanashambulia upande waliopo walinda Amani kwa kigezo cha kuwatafuta waasi

THE WAY NINAVYOONA HALI HII KAMA ISIPODHIBITIWA ITAKUWA VITA KAMILI YA MAZIWA MAKUU....PALE UVUMILIVU WA WATANZANIA UTAKAPOFIKA MWISHO...
 
Wana JF,

Kwa sasa Watanzania tunaomboleza vifo vya wanajeshi wetu 7 waliouawa kule Darfur baada ya kushambuliwa na kikundi cha Magaidi. Mpaka sasa haijajulikana ni kundi gani limehusika na shambulio hilo.

Kwa mtazamo wangu naweza kusema kwamba kulingana na hali tete iliyoko kwa sasa kati ya Rwanda na Tanzania baada ya kutokea kutokuelewana kati ya Rais Kiwete na Kagame yaelekea Kagame ameaanza kujibu mapigo kwa mlango wa nyuma. Mlango wa nyuma kwa maana ya Kagame kutuma majeshi yake kwenda kushambulia kambi za wanajeshi wa Kitanzania popote walipo katika Afrika kwenye mpango wa Kulinda Amani. Tuna wanajeshi wetu wako Sudan na DRC Congo. Hii ni hatari sana. Nina wasiwasi sana na wale jamaa wa M-23 maana wengi wana asli ya Kinyarwanda. kagame ana uwezo wa kuwatumia kabisa kuhujumu majeshi ya Tanzania.

Bado najaribu kutafakari maneno mazito aliyoyasema Kagame nchini kwake aliposema,"
“Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations… negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my answer. I did not waste my time answering him…It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible…”“

Haya maneno ni mazito sana kuzungumzwa na Rais Kagame dhidi ya Kikwete. Kwamba Kagame alikuwa akiongea na Wanajeshi waliofuzu mafunzo ya Kijeshi na kuwatamkia maneno haya. Kwamba kama walisikia Rais Kikwete akikubaliana na Interahamwe na FDLR na kusisitiza kukaa kwenye meza ya mapatano.....mapatano? Yey kagame huwa hazungumzii mada kama hizo,kwasababu yeye atamungoja(Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete kwenye sehemu mwafaka halafu ATAMPIGA!(PIGA TU). Kwamba Rais Jakaya Kikwete hastahili kujibiwa na Kagame. Hana muda wa kupoteza kujibizana naye. Hii inajulikana. Kuna mstari ambao huwezi kuuvuka,kuna mstari,mstari ambao kamwe huwezi kuuvuka. Haiwezekani..."

Haya maneno si ya kupuuza hata kidogo. Ingelikuwa ni enzi za Baba wa Taifa tayari angelikuwa amewasha moto. Baba wa Taifa alikuwa hataki ujinga ujinga bwana. Lakini Kiwete bwana, Mhhhuuu! Kazi kuchekacheka tu na kunyanyasa wapinzani. Kama mwanaume kweli basi ajibu mapigo ya Kagame!

Unajua kuna vitu mtu unafanya hata nchi za wenzako wanaanza kukutilia shaka. Kwa hili naona credibility ya kiwete iko chini sana na ndiyo maana huyu Kagame amesema aliyosema tena kwa ujasiri! Hivi tujiulize kama Kagame akiamua kumbana Rais Kiwete kwa kumwuliza kwamba yeye anataka kagame akae na Intarahamwe na FDRL kwenye meza ya mazungumzo MBONA YEYE KIWETE HAKAI NA WAPINZANI HUSUSAN CHADEMA WAKAPATANA badala yake Kiwete anahangaika kuwatumia Polisi,TISS,Wassira,Mwigule Nchemba na Nepi Nauye kuuwa Wapoinzani? Hivi Kikwete atajibu nini kwa Kagame???

".....there is a line you cannot cross,there is a line, a line that you should NEVER cross.It is impossible!" Paul Kagame, Rwandese President.

Tafakuri jadid.
 
kwa hiyo kajamaa kameanza kutudokoa mmoja mmoja? lets wait and see.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom