Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Wewe uliyeweka hii thread unaengea ukweli wa maneno ambao unawachoma wengi mioyo yao, hii ishu Kikwete hatakiwi kuweka mdomo wake KWANI YA HAPA NCHINI MWAKE AMEYASHINDWA SEMBUSE KWA JIRANI ATAWEZA
 
sina data, ila nachojua ugomvi sio mzuri maana hauangalii ukubwa wa mwili. Sina data za Rwanda wala za Tanzania na ndio maana sishabikiii
...then u had no right to speak.kuna watu wa kitengo cha millitary intelligence,they're busy day n' night.so kama wewe sio mtu wa vitengo jeshini be silent while u wait for a positive result frm our men n' women in uniform.
 
We unaogopa jeshi la Rwanda? Una data zake?
Mimi siogopi jeshi la Rwanda ila nogopa wanyarwanda waliomo kwenye system ya serikali yetu, jeshi na vitengo vingine nyeti. Inaaminika kuwa Israel ilishinda vita yake na misri ya mwaka 1967 baada ya mwanamke wa kiisrael aliyekuwa ameolewa misri kuvujisha siri za maandalizi ya kivita.
 
Kama kumhit na wamhiti tu, maana mlengwa sio tanzania, ni mtu tu ambaye ana cheo hapa TZ.

Kwanza siku kwa mauaji na maupuuzi ya serikali yetu, hata kama ningekuwa mwanajeshi nisingeingia vitani kwa sababu ya TZ, maana tanzania ya sasa ni watu wachache tu wezi wa mali za uma na wauaji wa wananchi wake.
 
Acheni umbumbumbu watanzania wenzangu mnaosema eti tutaipiga rwanda kisa ni ndogo kijokrafia, ni nani aliwafundisha kuwa uimara wa jeshi ama wa taifa unapimwa kwa misingi ya ukubwa wa ardhi??? Pumbafu nyie hamjui historia mnaandika tuu....kama nchi kuwa kubwa ndiyo inakuwa na jeshi nzuri mbona tulitawaliwa na ujerumani ambao tunawapita mara tatu kiukubwa??? Pumbafu nyie... Israel ilifanya mashambulizi kule misri na syria kati mwaka 1964 na 67 kwa wakati mmoja na kuzima ubabe wa hizo nchi ilhali ndiyo nchi ndogo kuliko zote hizo. Hamjui historia nyie mawazo yenu yanaendeshwa na hisia ambazo chanzo chake ni kushindwa kufikiri na kuchambua mambo kwa kina. Tuhoji kwanza uzoefu wetu wakupigana tulinganishe na ule wa wanyaruanda, tukisikia mlio wa risasi si tunakimbiaga uvunguni mwa kitanda wote baba,mama na watoto?------- sana
 
Suala ni kuwa makini sana huyu mtu kama kakomaa kusemasema hivi jua kuna something behind him kinachomfanya arudierudie kauri zake,na anapoona rais wetu kimya anajua anamwogopa

Support. Tunaweza kuwa na jeshi kubwa na nchi kubwa lakini tukashindwa na jeshi dogo kwenye nchi ndogo. Hapa ni utaalamu zaidi. Ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Tusibweteke. Wale KKK wanatuona kama sisi tunachonga sana.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Watanzania mnaifanya issue ya Kagame kama vile mechi ya simba na yanga ambayo ikiisha kila mtu anachukua time yake. Aliyefungwa na aliyefunga. Hi issue ni serious, wengine wanasema wana jeshi zuri ukiwauliza hawana data, wengine wanasema nchi yetu kubwa hiyo nayo haina mashiko, kubwa so what? wengine wanasema wanatz wana uzalendo hawana data, na wengine wanasema tutamnyongelea mbali hawajui hata uwezo wa jeshi letu. Wapo wenye data za mwaka 47 ambazo matokeo yake tulishayaona mbagala na gongo la mboto. Na simple research kwenye mikutano ambapo polisi wakituliza ghasia wanaua, huo umakini wetu uko wapi??? mpaka tujisifu????? Hivyo hili swala sio mpira wa yanga na samba la sivyo itatu cost sana.

Thanks for guiding fools among us, we have no army but unskilled tough mamluks for the political status quo.
 
Sijawahi na Simkubali Kikwete na uongozi wake,mimi pamoja na familia yangu!ila kwa hili la huyu "model" wa Rwanda...walakh hata jiwe ntabeba,mshenzi sana Kagame...kwanini analelewa wakati tunamtunzia wakimbizi wake kwenye ardhi yetu?
 
Kanihadithia dada yako juzi alipokuja kunifanyia Massage. Ila inawezekana pia nikawa muongo maana ndiyo first time WASIKIA.

HONGERA X-KIZIWI kwa kusikia hatimaye neno MIAKA 5.


Weka ushahidi hapa usifikirie hiyo rangi nyekundu inanipa mashaka. Njia ya mwongo ni fupi. Umezoea vya kunyonga ..... ..... ...... Isije ikawa na wewe unaishi kama mkimbizi halafu unasingizia mambo ya Mirambo. Tutapekua makabrasha hapa na kuanika ulivyokua mnyenyekevu pale alifu. Wacha fujo!
 
Kwa hali ya marais hawa uende Rwanda? Wakijua wewe ni mtanzania linaweza kukuta la kukuta huko ohoo.
Kagame anachapa kazi, nchi inaendelea kwa speed ya ndege. Serikali ya CCM badala ya ku mind its own business, inaleta majungu kutak kumwalibia Kagame. Kama kweli Mh Rais ni msuluhishaji mzuri, mbona ameshindwa Mtwara na ameamua kuweka JWTZ kuzima hoja za wamakonde?
 
vita mnavijua nyie,wengine humu mkiona mgambo na kirungu tuu mbio,eti leo mnajifanya vita vita vita piga huyo hawezi kutukana raisi wetu,na nani kaongelea vita zaidi ya mmoja katoa ushauri mwingine kajibu nonsense and both moved on,hizo garbage nyingine ni propaganda za genocidals websites za ant Kagame amabazo mnaletewa humu bila kujua...mnaonekana wapuuzi tuu leo Mwakyembe alikuwa anakutana na Rwanda delegation to improve transportation nyie huku mko busy na stupid propaganda za FDLR eti vita
 
Siwezi bishana na MTUMWA,MBINAFSI,HAINI na mtu usiyejua maana ya uzalendo kama wewe.
Reveal your true colours palz, that rubish cements our viewz agaist you all
Upo tayari wewe ambaye hata kitako cha bunduki ukijui. Acheni uchonganishi wenu wa kuandika katika makey board yenu.
Angalia sasa askari wako hawa, alafu unataka ufront line
uploadfromtaptalk1373399450818.jpg
 
Amjinu nini mpimbavu yule ukibishana na mjinga na wewe utakuwa mjinga kwanza kanchi haka kanatukera tu sijui nyerere alivumiliaga nini kutusafisha hutu turwanda na burundi vingekuwa viwilaya vyetu tu na kama kagame imemtachi ajaribu kama mwanaume nasema hili hamnijui siwajui tujuane kimjinimjini. Watanzania hatuna asili ya unyonge na wala hatuja wahi kushindwa awaulize makaburu wanatujua
 
Sometimes its better to have people like kagame instead of having these matamasha ya matumaini referees.
 
mtu anapomtukana rais wa Tanzania maana yake ametutukana watanzania, anaposema atampga kikwete anamaanisha ataipiga TZ, lazima tumjibu, hatuwezi kukaa kimya, hapo tunaungana kwa pamoja kuresponse maana hii nchi ni ya kwetu.


we are global citizens we respect no germany boundaries, kagame yuko sawa
 
Ni kawaida sana kwa hawa watu.na usishangae choko choko hizi hazitaisha.kwa ukweli huyu bwa mdogo anahitaji kupewa displin japo kidogo tu.kinachomtia jeuri ni hao kina Tony Blair na Clinton wanaomshauri pale.
Hasira pia imempanda zaidi baada ya kujua Obama haendi Rwanda na anakuja Tanzania.haelewi kilichoongelewa kwani Marekani alikua suppoter wao mkubwa.sasa kitendo cha Marekani kuwanyima msaada wa kijeshi na kuja Tz kwa Obama kunafanya kengele ya hatari kugonga kichwani kwa Kagame
Pia na jeshi la kulinda amani pale Congo ndo linamalizia kumtia machungu zaidi
ha ahahaha ahaha....we mzee kijana ndugu zako walipigwa wakisaidiwa na wafaransa na nchi wakanyangwanywa na bado wanachimba mihogo Congo,na unajua sana ila una play dumb humu
 
hii inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo dhaifu.na haufai kuwa kiongozi hata kidogo.ni nani alikuambia kila ukijibiwa vibaya ni lazima upigane vita?hii inaonyesha jinsi gani usivyoangalia matokeo ya hiyo vita,utapoteza ndugu zako,uchumi utashuka,watanzania watakuwa wakimbizi,,,je ndio ndoto zako kuona akina mama wamejibebea mizigo kichwani wakitafuta makambi ya wakimbizi?hufai hata kidogo thats why unaona kiongozi wa Tanzania haliongelei hilo suala.mlianza na malawi mkaropoka at last akasema maongezi ndio solution,na hili la rwanda nalo liwe sababu ya kwenda kupigana vita?Putin rais wa Russia S 300 missiles alizokuwa akizisafirisha kwenda syria israel wamezilipua njiani mara 3 kwa mwaka huu tu,PRISM ni mpango wa marekani kuspy communication duniani na snowden alifichua kuwa hadi na EU walikuwa wapo under prism na Obama akakiri,na EU wamekasirika lakini did you ever heard of war option?ney
enyi wanasiasa ama mnajiita wanasiasa na kuweka vita mbele be carefull
kind regards Chimbuvu

Una vita ya Chitchat! ! ! Madame B hakuhusu.Hasira zote hizi?Duh!
 
Last edited by a moderator:
Hivi ile ishu ya Malawi imeishia wapi??

Noma ni pale mtakapolianzisha na Kagame yule Mama analianzisha kule chini, can we fight in two fronts?? Intelijensia wetu akina Rama Ighondu watatujuza...

Kumbuka kwamba inaweza isiwe ni Rwanda na Malawi tu, pia kuna M23 ambao nao wanatishia kulianzisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom